Confundido
Member
- Mar 17, 2021
- 28
- 112
Asante kwa ushauriHayo ni mapunye au vishilingi, hapo ni hatua ya awali kabla havijawa vikubwa na vingi.
Vinaambukizwa kwa kutumia vifaa alivyotumia mgonjwa mfano mashine za kunyolea, kuvaliana nguo na mgonjwa wa hilo tatizo n.k
Kuhusu matibabu nenda duka la dawa Kuna dawa za kupaka zinatibu hilo tatizo, ukichelewa kuvitibu vitasambaa na kua vikubwa.
Ili kutibu ogea sabuni inaitwa Tetmosol toka nchini India na upake dawa inaitwa Candiderm Cream yenyeAsante kwa ushauri
Jamaa yangu wewe ni pharmacistIli kutibu ogea sabuni inaitwa Tetmosol toka nchini India na upake dawa inaitwa Candiderm Cream yenye
(Clotrimazole+Anhydrous Beclometasone Dispropionate+Gentamicin Sulfate)
Sio Pharmacist, pilika za maisha zinafanya watu tujue mambo ambayo hata sio fani zetuJamaa yangu wewe ni pharmacist
Sio mchezo umekua km yule Jamaa alipata hasara kwa kilimo cha vitunguuSio Pharmacist, pilika za maisha zinafanya watu tujue mambo ambayo hata sio fani zetu
Mi sijawai pata hasara ila kutokana na kukutana na changamoto nyingi kwenye maisha unajikuta mtu unajua vitu vingi sana katika fani mbalimbali hata ambazo haujasomeaSio mchezo umekua km yule Jamaa alipata hasara kwa kilimo cha vitunguu
Candiderm cream, perfect....itamtibuIli kutibu ogea sabuni inaitwa Tetmosol toka nchini India na upake dawa inaitwa Candiderm Cream yenye
(Clotrimazole+Anhydrous Beclometasone Dispropionate+Gentamicin Sulfate)
Cc DR Mambo Jambo -specialist anakujaIla atachelewa kuja kuwa mvumilivu
DR HAYA LAND
Shukrani sana DR HAYA LANDCc DR Mambo Jambo -specialist anakuja
🤣😅😅Cc DR Mambo Jambo -specialist anakuja
HakiwashiUgonjwa unaweza kuwa Ni Discoid Eczema/Discoid Dermatitis au Taenea Corporis..
Inategemea na Maelezo ya Mgonjwa..
Kinawasha?
Kilitokeaje?
Usafi?
Kuna sehemu nyingine Kipo?