Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,559
- 7,914
Hijab inakuteseni?
THE WORLD is WATCHING #D9!
Miaka 60 ya Uhuru bado unawaza udini? Watanzania wameshatoka Huko kitambo Sana, wewe mjinga bado na itakuchukua miaka mingi Sana kupata AkiliHijab inakuteseni?
Yeye haoni tatizo la mlengwa anaona anaonewa kwa sababu ya dini yakeMiaka 60 ya Uhuru bado unawaza udini? Watanzania wameshatoka Huko kitambo Sana, wewe mjinga bado na itakuchukua miaka mingi Sana kupata Akili
huyo ni mjinga SanaYeye haoni tatizo la mlengwa anaona anaonewa kwa sababu ya dini yake
Dunia inawaangazia!
NakaziaMiaka 60 ya Uhuru bado unawaza udini? Watanzania wameshatoka Huko kitambo Sana, wewe mjinga bado na itakuchukua miaka mingi Sana kupata Akili
Huyu bibi ukimchora inaweza kukuletea shida.Nani huyu? Naona Kipanya amekuwa Kimya. Hivi alisharudi kutoka South Africa?
Kweli kipofu kaona mwezi.Ila ni aibu kwa kwelii
View attachment 3507818
Samia atahukumiwa kwa mapungufu yake ya kiuongozi! Na siyo kwa sababu ya dini yake. Na kama dini ndiyo chanzo cha yeye kufanya madudu, basi kuna umuhimu wa kuitathmini hiyo dini yake kwa kina.Hijab inakuteseni?
Achana na udini matako wee,kuna walipoanza ngonjera eti kisa uanamke wake,la hasha ni uzapunga wake tu na kushindwa kuendesha nchiHijab inakuteseni?
Jimama linanyonga gizani kumbe linamulikwa!Hijab inakuteseni?
Alijua anayoyafanya dunia haitayaonaIla ni aibu kwa kwelii
View attachment 3507818