Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 857
- 1,652
Uongo wa kidini na unafiki wa wanasiasa wa Kitanzania.
enzi za kikombe cha babu wa loliondo
Mojawapo ya miradi ya ccm hii.
Mbona hamuwataji Kikwete, Lukuvi na Wassira ambao nao walikunywa kikombe cha babu marehemu Mwasapile!Magufuli alikuwa mgonjwa siku nyingi tu, ila mmempa nchi.
Ila Wanyakyusa!!!! Bado huku kwenye makanisa ya kiroho
Mbona hamuwataji Kikwete, Lukuvi na Wassira ambao nao walikunywa kikombe cha babu marehemu Mwasapile!