Picha hii inakufanya ujiulize nini?

Picha hii inakufanya ujiulize nini?

Kuna ulazima gani maiti kukaa mochwari? Nimeishi kijijini sijawahi kuona hilo.. mtu anafariki anawekwa ndani hata siku mbili then anazikwa
 
View attachment 1694932View attachment 1694933

Kwenye picha hizo hapo juu, utaona watu wawili wameketi kwenye pikipiki. Inaweza kuonekana kawaida kwa baadhi ya watu kwa muonekano wa haraka. lakini kiuhalisia, lakini hao waliokaa nyuma ya dereva siyo watu walio hai: ni miili ya watu waliokufa.

Nilidhani naujua uhalisia wa umasikini lakini nimeona jinsi miili ya watu waliokufa inavyochukuliwa kutoka vijiji vya mbali ndanindani D. R. Congo kupelekwa mochwari kwa kuwa hawana uwezo wa kukodisha magari maalum yakubeba miili ya waliofariki (mochwari inapokuwa mbali sana na kijiji),

Kwa hivyo watu wanaamua kuufunga mwili kwa nguo na kuukalisha nyuma ya pikipiki, hivyo dereva wa pikipiki anaupeleka mwili mochwari kwa ajili ya kuuhifadhi. Na safari hii huwa ndefu hadi masaa matano kwa vijiji ambavyo ni mbali sana na mochwari.

Na huu ni upande mwingine wa umasikini unaohuzunisha kwenye vijiji masikini duniani.
Yesu wangu!!! 😥😥😥
 
Wa Africa tunapenda sana Maiti kuliko hata Mgonjwa!!
Huwa nawaza hili nashndwa kuelewa,wengne wapo tayari hata kupgana.
Ila Kuna watu Fulani waliwah nieleza eti mfano mzazi wako au mtu yeyote ambae ana watoto inatakiwa azikwe Karbu na walipo ndugu zake ili likitokea lakutokea mizimu yake waweze kuifikia kirahisi
 
View attachment 1694932View attachment 1694933

Kwenye picha hizo hapo juu, utaona watu wawili wameketi kwenye pikipiki. Inaweza kuonekana kawaida kwa baadhi ya watu kwa muonekano wa haraka. lakini kiuhalisia, lakini hao waliokaa nyuma ya dereva siyo watu walio hai: ni miili ya watu waliokufa.

Nilidhani naujua uhalisia wa umasikini lakini nimeona jinsi miili ya watu waliokufa inavyochukuliwa kutoka vijiji vya mbali ndanindani D. R. Congo kupelekwa mochwari kwa kuwa hawana uwezo wa kukodisha magari maalum yakubeba miili ya waliofariki (mochwari inapokuwa mbali sana na kijiji),

Kwa hivyo watu wanaamua kuufunga mwili kwa nguo na kuukalisha nyuma ya pikipiki, hivyo dereva wa pikipiki anaupeleka mwili mochwari kwa ajili ya kuuhifadhi. Na safari hii huwa ndefu hadi masaa matano kwa vijiji ambavyo ni mbali sana na mochwari.

Na huu ni upande mwingine wa umasikini unaohuzunisha kwenye vijiji masikini duniani.
Yaani wanatolewa makwao kijijini walikofariki wanapelekwa mortuary mwendo wa masaa 5 kwa boda boda halafu tena warudishwe kwao kuzikwa? Hii mbona hai make sense? Huko mortuary wanapelekwa kufanya nini sasa?
 
Na hii ndo Miafrika MIMAFIKI INAKAA KUWASEMA WAZUNGU WANATAKA MUWE MASHOGA HUKU YENYEWE INAUANA NA KUPORANA UTAJIRI.
 
maisha ya hapa duniani yanapita, mkumbuke Mungu walau u mzima, kwasababu ukifa hautakuwa na thamani yeyote.
 
Hii mada niliwahi kuiweka kupitia heading hii hapa 👇🏿...

 
Back
Top Bottom