Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,988
Wapi huko mkuu??hapa hapa bongo nshawahi kukutana na hii
Wapi huko mkuu??hapa hapa bongo nshawahi kukutana na hii
Uko sahihi hata mm nimewaza hivyoMimi nadhani hao watu wamefia mbali na makwao hivyo wanasafirishwa kupelekwa nyumbani kwa mazishi.
Hai-make sense kusema eti wanapelekwa mochuari. Yani pesa za kusafirisha kwa gari zikosekane kisha za kuhifadhi mwili mochuari ndio zipatikane?
Wewe umeongea point ambayo inaendana na ukweliMimi nadhani hao watu wamefia mbali na makwao hivyo wanasafirishwa kupelekwa nyumbani kwa mazishi.
Hai-make sense kusema eti wanapelekwa mochuari. Yani pesa za kusafirisha kwa gari zikosekane kisha za kuhifadhi mwili mochuari ndio zipatikane?
Na zaid mochuari wa naenda kuuhifadhi ili wamsubirii nani ndio wazike nadhan labda mwandishi angesema kuupeleka kijijini kwao kumzika kwa kuwa Barbara za huko hazipitiki magarii hapo sawaMimi nadhani hao watu wamefia mbali na makwao hivyo wanasafirishwa kupelekwa nyumbani kwa mazishi.
Hai-make sense kusema eti wanapelekwa mochuari. Yani pesa za kusafirisha kwa gari zikosekane kisha za kuhifadhi mwili mochuari ndio zipatikane?

Haya ya kuporana utajiri wa Madini lina historia ndefu sana. Migodi mingi mikubwa inamilikiwa na Mabeberu. Kila Serikali iliyoingia madarakani ilisaini mikataba ya ajabu ajabu na hawa Mabeberu na ndio sababu unyonyaji wa utajiri wa DRC unaendelea bila wasiwasi wowote. Wameweka mirija yao na wanaendelea kunyonya taratibu kwa raha zao. Wananchi wa kawaida wa DRC hawafaidi chochote katika utaratibu huu. Dunia inashangaa, iweje nchi yenye utajiri kama huo inakuwa maskini wa kutupwa! Yapo madini yanaitwa columbite-tantalite. Simu yako janja inayatumia sana haya. Yana soko kubwa kwenye viwanda vyote hususan vya teknolojia ya habari na mawasiliano. Wachina wanayo akiba kubwa ya madini haya. Wenzao ndo wako bussy kuhakikisha DRC hawapati amani na hivyo kuendelea kuweka mirija yao na kunyonya vya bure kupitia hao waliopewa dhamana ya kulinda utajiri wao.Na hii ndo Miafrika MIMAFIKI INAKAA KUWASEMA WAZUNGU WANATAKA MUWE MASHOGA HUKU YENYEWE INAUANA NA KUPORANA UTAJIRI.
Mudi ndiyo Mohamed mkuu!!Mkuu si kila mtu mfuasi wa Mudi



Maiti inajibu, masikhara masikhara unaweza kuniua ujue. Dereva wa bodaDereva mwenyewe kichwa kibovu,anamwambia kausha,so umeona mawingu hayo? Tuyawahi.

Sasa je wataifata tena kwenda kuizika ama??Umuhimu wa kupeleka mwili motuary ambayo iko umbali wa zaidi ya masaa 5 ni upi??
Bussy ❌Haya ya kuporana utajiri wa Madini lina historia ndefu sana. Migodi mingi mikubwa inamilikiwa na Mabeberu. Kila Serikali iliyoingia madarakani ilisaini mikataba ya ajabu ajabu na hawa Mabeberu na ndio sababu unyonyaji wa utajiri wa DRC unaendelea bila wasiwasi wowote. Wameweka mirija yao na wanaendelea kunyonya taratibu kwa raha zao. Wananchi wa kawaida wa DRC hawafaidi chochote katika utaratibu huu. Dunia inashangaa, iweje nchi yenye utajiri kama huo inakuwa maskini wa kutupwa! Yapo madini yanaitwa columbite-tantalite. Simu yako janja inayatumia sana haya. Yana soko kubwa kwenye viwanda vyote hususan vya teknolojia ya habari na mawasiliano. Wachina wanayo akiba kubwa ya madini haya. Wenzao ndo wako bussy kuhakikisha DRC hawapati amani na hivyo kuendelea kuweka mirija yao na kunyonya vya bure kupitia hao waliopewa dhamana ya kulinda utajiri wao.
Anakwambia punguza mwendo utaniuaHivi ndio umeshaondoka nayo unafika mahali kwenye kichaka peke yako,jamaa anakushika bega,sijui utaruka,utasimama au utaendelea na safari...!!

kijana kaul hiyo utaanzisha mjadala humuMkuu si kila mtu mfuasi wa Mudi
Mbarali ndani ndani hukomkoa/wilaya gani mkuu
Hata Mimi nimehoji ...huu Ni umasikini wa kiutopolo ...bila Shaka!Wanatumia masaa 5 kusafirisha kwenda kuhifadhi, badala ya kutumia saa moja had mbili kuzika.
Hapo kazungumzia umasikini, sijui kuhifadhi sio gharama..
Mkuu nimecheka kama vile mazuri, imagine na misitu ya congo afu boda yuko na maiti pekee, mara maiti inamsemesha kuwa apunguze mwendo...
![]()