Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,187
- 26,209
Sijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu. Angalieni mkono wa huyo jamaa wa usalama.
Ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais.
Wadau mna maoni gani? Hii imetokea leo.
Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais. Sio kwa jicho hilo analomkata aisee.
Ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais.
Wadau mna maoni gani? Hii imetokea leo.
Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais. Sio kwa jicho hilo analomkata aisee.