Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,715
- 20,472
Kama Heche angeongozana na SUGU, umati ungekuwa zaidi ya huo. Mwaka 2010 wakati wakisubiri matokeo yatangazwe jimboni kwao, walipata habari kuwa SUGU ameshinda Mbeya Mjini, wakaacha kwa muda kusubiri yao na kuanza kuandamana kusherehekea matokeo ya SUGU Mbeya!