Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Lakini robo hiyo hiyo ndiyo iliyoshinda kule Arumeru Mashariki.wadanyika walivo mbumbumbu..!
Usikute kata yao hapo waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la kupiga kura ni robo yao tuh..!
Kazi sana nchi hii
kwa mwendo huo kuwatoa magamba pale magogoni BAAADAE SANNAAAA....!!
Huu ni mtazamo tuh..