CHADEMA imalizeni haraka haraka iyo ccm(magamba) huko Tanganyika ili wazanzibar tupate nchi yetu maana hawa ccm wanajificha chini ya kivuli cha muungano wanaiba huku na huko ......
CDM siku zote hizo mlikua mnasubiri nini WAMALIZENI FASTAAA , kazi yao ufisadi na kuididimiza tanzania katika umasikini
CDM siku zote hizo mlikua mnasubiri nini WAMALIZENI FASTAAA , kazi yao ufisadi na kuididimiza tanzania katika umasikini