Chaimaharage
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 211
- 78
Nape atasema hao wananchi ni magamba. Wamejipima na kujiondoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wananchi wamepata mwamko..! Hongera CDM kwa kufikisha ujumbe kwa wananchi vijijini na kuwapa matumaini na moyo kwamba nchi hii ni yao na wao (wananchi) pekee ndio wenye uwezo na sauti wa kujiamulia mustakabali wa nchi yao..
Lazima itakuwa Arusha hapa.
oooooh chadema ni yakazikazini tu nyoooooooooooooooooooooo
Ahsante sana kwa mtiririko mzuri wa taarifa iliyoshiba,inatia moyo kuona wananchi katika maeneo mbalimbali ya nchi wana kiu ya maendeleo wao wenyewe
Waliokuwa wanasema Oooh mbona kila siku Arusha wapo wapi??
TUMBIRI wa JF,
P.O BOX - PM JF.
wadanyika walivo mbumbumbu..!CDM malizeni huko mikoani maana huko ndio kuna kura za uhakika, Dar es salaam kuwe pa mwisho maana Jiji hili limejaa wasanii na waga nga njaa mwengi sana.
Mkifanikiwa kuikamata mikoa ya uhakika japo 15 tu. hakika nchi mnaichukua. hivi sasa, mna nusu ya mikoa ifuatayo Arusha, Kilimanjaro, Mwanza, Mara, kigoma. robo mikoa ya Dar, Mbeya, Iringa, singida na Rukwa.
Safari bado ni Ndefu kaza buti Pipozzzzzzzz
Kubalini yaishe, mlikuwa mnalalamika mikutano ya CDM inafanyika Arusha tu sasa mmegeuza mnataka kumwona kamanda wa anga, subiri akitua utajua mkoa mzima huwa unatetemeka kuanzia RPC hadi RC.Kwani uongo? Wewe kwenye hizo picha umemuona Mbowe au Slaa? Lakini ingekuwa mkutano uko kaskazini ungewaona wakiwa wamejaa tele.
Mkuu unatapatapa umefikia mwisho wako, huo hapo ni ushahidi tosha kwani umeona Mbowe na Slaa ndio viongozi pekee wa CHADEMA!!!! Imekula kwako propoganda zako za hoo CHADEMA ni ya kaskazini zimefeli vibaya, CHADEMA imeenea Tanzania yoote si umeona????Kwani uongo? Wewe kwenye hizo picha umemuona Mbowe au Slaa? Lakini ingekuwa mkutano uko kaskazini ungewaona wakiwa wamejaa tele.
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".