Nicholaus Kilunga
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 1,188
- 570
- Thread starter
- #81
naona imebaki misukule hii michache. nayo muda sio mrefu itazinduka na kujua ulaghai wa hawa jamaa.
Sisi hatubishani na magamba maskini kama sisi ambao mnatumiwa kma kalai,wakati wa ujenzi then mnatupwa,sisi tunabishana na magamba papa kma jangiri kinana,mtoto wa kambo Nape,mzee wa kufoji vyeti na majina Mwigulu na mkubwa wao mr dhaifu,nyie wazee wa pakti ya chumvi hamtusumbui