Watu wa kanda ya ziwa na magharibu mwa Tanganyika wote wanajitambua kosoro abakorakamo ndo amebaki kuwa mzigo!
kwa kukusaidia tu,hapa SAUT tuna tawi letu na vyeti vinapatikana hapo.cDM ipo imara sana hapa SAUT ikiwa na wanachama kibao,inao wanachama zaidi ya 75 percent ya wanachuo wote.
Nlivo ona tu jina lako nkatema mate!Nimewaona ITV wakiwa wanagawa vyeti kwa wanachuo wa SAUT Mwanza ila cjaona wakigawa kadi.
Vp hakuna wanachama waliojiunga na chama? Na vyeti ni vya kupongeza nini? Mtu anaweka cheti chenye signature ya kina Lissu si bora utengeneze chakwako usaini mwenyewe? Hahahaha....
Hebu tuambieni wanaSAUT hamna wanaojiunga na CDM huko chuoni maana cjaona kadi nimeona vyeti. Kama hamna, basi ndo buriani janga CDM.
Abokaramo ana haha act kwishenei kupitia ukwa na mama zitto amewachia mwanae wosia asihame chadema milele
viongozi wa chadema wana roho mbaya
una roho mbaya wageni wakija kwako unakimbiza chakula uvunguni.
viongozi wa chadema wamejaa roho mbaya. Taifa lina msiba wao wanaendelea na mikutano yao uchwara
Nimewaona ITV wakiwa wanagawa vyeti kwa wanachuo wa SAUT Mwanza ila cjaona wakigawa kadi.
Vp hakuna wanachama waliojiunga na chama? Na vyeti ni vya kupongeza nini? Mtu anaweka cheti chenye signature ya kina Lissu si bora utengeneze chakwako usaini mwenyewe? Hahahaha....
Hebu tuambieni wanaSAUT hamna wanaojiunga na CDM huko chuoni maana cjaona kadi nimeona vyeti. Kama hamna, basi ndo buriani janga CDM.
Nlivo ona tu jina lako nkatema mate!
hana jipya.
aliyoyasema ni 'business as usually'
huyu babu akapumzke sasa imetosha.