Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Kama unashindwa kuandika waombe wenzio wakuandikie wewe ndio u-post,,,
Next time please, sitaki nione huu uchafu..
Next time please, sitaki nione huu uchafu..
lisu na slaa ni viongozi wasiokuwa na utu kabisa, wana roho ya mbaya sana
Hii mada ni ya wasomi vyuo vikuu sasa wewe dada yangu sijui umekurupushwa gest au umefumaniwa na mme wa mtu.hauna elimu yoyote.jaribu kwenda masomo ya jioni kwa wazazi.
hana jipya.
aliyoyasema ni 'business as usually'
huyu babu akapumzke sasa imetosha.
labda nikusaidie ushauri wa bure female,
kwa uzoefu nilionao kwenye maisha ni hela 2 mama ztakufanya uheshimike na hata hao maprofesa wanaowapiga brush.
elimu n status 2. ila mawe ndo habar ya muji
Go back to school my sister,to help even your chard. Utabaki kujipitisha jori club hadi lini just money?jitambue shoga lol.labda nikusaidie ushauri wa bure female,
kwa uzoefu nilionao kwenye maisha ni hela 2 mama ztakufanya uheshimike na hata hao maprofesa wanaowapiga brush.
elimu n status 2. ila mawe ndo habar ya muji
hana jipya.
aliyoyasema ni 'business as usually'
huyu babu akapumzke sasa imetosha.
Kusanya rambirambi dili limepatikanaNi kweli kabisa, wasiwe wanatumia hela za ruzuku kwenda holiday Marekani....
Ni kweli kabisa, wasiwe wanatumia hela za ruzuku kwenda holiday Marekani....
Roho mbaya kwa kukunyima,jimbo kanuni za uteuzi huzingatiwa sana ndani ya chadema,lisu na slaa ni viongozi wasiokuwa na utu kabisa, wana roho ya mbaya sana
Mwanza ccm byebye ,tunamsubiri Limbu na Ndasa apate safari yake,kule Ngereja aulize habari yake kwa Tabasamu ,chadema hatubahatishi CHASO peopleeeeeeeeeezzz!kwa kukusaidia tu,hapa SAUT tuna tawi letu na vyeti vinapatikana hapo.cDM ipo imara sana hapa SAUT ikiwa na wanachama kibao,inao wanachama zaidi ya 75 percent ya wanachuo wote.
Kama unashindwa kuandika waombe wenzio wakuandikie wewe ndio u-post,,,
Next time please, sitaki nione huu uchafu..
Nimewaona ITV wakiwa wanagawa vyeti kwa wanachuo wa SAUT Mwanza ila cjaona wakigawa kadi.
Vp hakuna wanachama waliojiunga na chama? Na vyeti ni vya kupongeza nini? Mtu anaweka cheti chenye signature ya kina Lissu si bora utengeneze chakwako usaini mwenyewe? Hahahaha....
Hebu tuambieni wanaSAUT hamna wanaojiunga na CDM huko chuoni maana cjaona kadi nimeona vyeti. Kama hamna, basi ndo buriani janga CDM.
Nimewaona ITV wakiwa wanagawa vyeti kwa wanachuo wa SAUT Mwanza ila cjaona wakigawa kadi.
Vp hakuna wanachama waliojiunga na chama? Na vyeti ni vya kupongeza nini? Mtu anaweka cheti chenye signature ya kina Lissu si bora utengeneze chakwako usaini mwenyewe? Hahahaha....
Hebu tuambieni wanaSAUT hamna wanaojiunga na CDM huko chuoni maana cjaona kadi nimeona vyeti. Kama hamna, basi ndo buriani janga CDM.