Povu la nini? Si uende mahakamani iwapo unahisi mikutano ya CDM inakukera? Sasa unamshitaki nani hapa JF? Au kuna mtu kakuambia hapa Jamii Forums ni mahakamani?
kwanini chadema wanafanya mikutano kipindi hiki cha majonzi?
Povu la nini? Si uende mahakamani iwapo unahisi mikutano ya CDM inakukera? Sasa unamshitaki nani hapa JF? Au kuna mtu kakuambia hapa Jamii Forums ni mahakamani?
Sasa nyie mmezidi. Zito mmemtumia mtakavyo sasa mnamsanifu baada ya kufiwa na mama yake. Kweli CCM ni zaidi ya shetani, kwa hiyo msiba wa mama yake ni wa kitaifa? Hamna shukrani kabisa nyie, pamoja na kazi kubwa aliyofanya kwa niaba yenu kuvuruga upinzani haya ndio malipo mnayompa ya kumkejeli kwenye msiba wake? Nadhani hata yeye mwenyewe sasa hivi anajuta kumtumikia shetani kuwasaliti wazalendo.viongozi wa chadema wamejaa roho mbaya. Taifa lina msiba wao wanaendelea na mikutano yao uchwara
Asante huyu Mhaya mpuuzi (Abakorakamo- ni misemo ya kihaya). Who is mama yake Zitto in the national political scene! Tutamlilia kama mama yetu na si msiba wa taifa kama huyo mhaya alivyojitangazia nshomile!
ndiow uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo?
Sasa nyie mmezidi. Zito mmemtumia mtakavyo sasa mnamsanifu baada ya kufiwa na mama yake. Kweli CCM ni zaidi ya shetani, kwa hiyo msiba wa mama yake ni wa kitaifa? Hamna shukrani kabisa nyie, pamoja na kazi kubwa aliyofanya kwa niaba yenu kuvuruga upinzani haya ndio malipo mnayompa ya kumkejeli kwenye msiba wake? Nadhani hata yeye mwenyewe sasa hivi anajuta kumtumikia shetani kuwasaliti wazalendo.
Nakwambia wewe mhaya acha kuwatia aibu wenzako!
huo mkutano una faida gani zaidi ya majungu tu?
ndiow uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo?
viongozi wa chadema wamejaa roho mbaya. Taifa lina msiba wao wanaendelea na mikutano yao uchwara
viongozi wa chadema wamejaa roho mbaya. Taifa lina msiba wao wanaendelea na mikutano yao uchwara
we endelea kuwalamba miguu wachaga. Mambo ya wahaya hayakuhusu kenge we
viongozi wa chadema
wamejaa roho mbaya. Taifa lina msiba wao wanaendelea na mikutano yao
uchwara
umetumwa na nani?
Wakati wa mabomu ya Arusha mbona zzk hakupumzika wala kutuma salamu za pole!? Au wale hawakuwa binadamu ila binadamu ni mama yake!?viongozi wa chadema wamejaa roho mbaya. Taifa lina msiba wao wanaendelea na mikutano yao uchwara
Wakati wa mabomu ya Arusha mbona zzk hakupumzika wala kutuma salamu za pole!? Au wale hawakuwa binadamu ila binadamu ni mama yake!?