Acha upu.....fu! Alijiita mwenyewe na Jose![emoji32]Mbona Dr Slaa alitenda wema akaambulia kuitwa Dr Mihogo
Huu ni mpango ulioandaliwa na watu wanaotumia taaluma na akili zao vibaya.Ukitaka laana ya Mungu ikuangukie jiambatanishe na ccm , huyu atatumika kama ndondocha halafu baada ya uchaguzi atabwagwa , ccm haijawahi kuwa na rafiki .
Kondom za ccm baada yakumaliza Baja zake jalala watakakotupwa huwezi kuaminiDR LOUIS SHIKA leo alitembelea ktk mkutano wa kufunga kampeni za udiwani kata ya Mhandu. Shika amesema kuwa CCM ikishinda kata zote 43 ITAPENDEZA Zaidi.
[HASHTAG]#Note[/HASHTAG] Pembeni yake ni aliyekuwa katibu wa Chadema mkoa wa Mwanza aliyehamia CCM Comrade John Nzwalile.
Magoiga SN
View attachment 637785 View attachment 637786
Si unakumbuka kina Bongo movie walitumika hadi wengine kugawa K kina madalaka ya kulevya kuwa kuhisi wataambulia hata viti maalumu, unaonaje walivyoachwa solemba na wengine kama kila Ray watu waliahidi hawatakaa wanunue kazi zao tena juu ya usaliti. sasa wanalalamika mchawi kumbe hasira za watu na wao kujiona ni serikali mpya ijayo. watu tumewashit kama karatasi la chooniUkitaka laana ya Mungu ikuangukie jiambatanishe na ccm , huyu atatumika kama ndondocha halafu baada ya uchaguzi atabwagwa , ccm haijawahi kuwa na rafiki .
Sasa si analipwa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi baada ya uchaguzi abebwe ili iweje na kampeni zishaisha??Ukitaka laana ya Mungu ikuangukie jiambatanishe na ccm , huyu atatumika kama ndondocha halafu baada ya uchaguzi atabwagwa , ccm haijawahi kuwa na rafiki .
Kisha punguza mashabiki!Yaan sasa kakoroga bora ange2lia hvy hvy...soko limeshuka mzee BABA
Nilishasema too much of anything is harmfull..Huyu hatodumu sana
Lakini angeenda kwenye mkutano wa chadema angedumu sio?Nilishasema too much of anything is harmfull..Huyu hatodumu sana
Siasa haina adui wa kudumu mkuu au hukuelewa maneno ya mwenyekiti mkuu?Unajua watanzania kuna vitu huwa hatujui na tunashabikia kitu pasipo kujua wala kuchuja. Huyu Shika ambaye leo anaonekana bomba au kifaa. Wakati hao hao ccm walimkamata na kumweka ndani kwa kosa ya utapeli. Na aliongea yote hayo ni mkuu wa polisi wa dar. Na kwenye mnada wenyewe waliemwangalia mwenye akili timamu aliyemwona Shika ni kama mtu ambaye hana akili timamu. Leo hao hao ccm wanaendelea kuzidi kutudanganya na kutuaminisha kuwa Shika ni mtu sahihi mwenye uwezo wa kuaminisha wananchi ili waichague ccm. Hapa ndio mjue kuwa ccm wao wanachojali ni madaraka hawajali anaeleta ushindi ni kichaa au mzima. Haya ndio matokeo ya watanzania kuzidi kuwa maskini. Kinachotakiwa ccm wawaleze watanzania ukweli na wawe wakweli na kitu ambacho hakipo ktk ccm. WATANZANIA amkeni achaneni na ccm uongo mwingi wao wanachotaka ni kututawala hawajali kwa njia gani halali au haramu
Waulize madaktari bingwa muhimbili wanalo jibu!Hivi huyu tunamwita docta docta aliwahi kutibu wapi?? na siku zote alizokuwa amefulia alikosa hata ka dispesari akafunge hata vidonda??
Sema dada upo?bdo unawashwawashwa...Hicho kikwapa vipi...?