Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,698
- 11,297
Baada ya uchaguzi ameshatelekezwa,sijui kama kapata Nauli ya kurudia Dar
Ni upumbavu na urofa kuamini kuwa Mungu ana upendeleoUkitaka laana ya Mungu ikuangukie jiambatanishe na ccm , huyu atatumika kama ndondocha halafu baada ya uchaguzi atabwagwa , ccm haijawahi kuwa na rafiki .
Adui mkuu wa Mungu ni shetani , hili nalo hulijui ?Ni upumbavu na urofa kuamini kuwa Mungu ana upendeleo