BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
hongera msanii...ila mwandishi wa post hii una matatizo...naona utakuwa na stress za maisha...attitudes!au ndio unatafta umaarufu humu Jf?Kuna midude itaponda wakati hiyo hiyo bado inaishi kwa wazazi wao ambao bado wamepanga hapa mjinigo diamond,go,mimi na fans wako tunakuombea mafanikio zaidi kimziki na kimaisha