Umesema kweli Kama Lowasa anatafuta ziada na labda tamaa.
Unisaidie mimi au utekeleze sheria mlizojiwekea?Kwahiyo tukusaidiaje?
bowlibo;
Huyo ni ccm hawezi kuchafua mji, anaruhusiwa huyo, ni mwenzetu, tena wa kile chama chetu chenye wenyewe naye naona anaonesha kuwa naye yumo kwenye orodha.
Kama ana nguvu, Jafari Michael, aamuru vijana wa Manisipaa wamshike kwa kuchafua mji uone ka Nape hajafika Moshi. Fweza ndugu haisemi uongo. Hicho ni kibwagizo tu, ngoja apitishwe uone ka hamjanywa maji kwa ukucha wa kuku. Masikini ccm yangu, inajifia yenyewe