Picha: Devis Mosha atumia Helkopta kura za Maoni

Picha: Devis Mosha atumia Helkopta kura za Maoni

Anajisumbua tu moshi watu wanataka mabadiliko na wameyaona kwa ndesa na ndesa amemwachia jaffari ni mtu mchapakazi Leo hii utaona mji Wa moshi unamaendeleo jaffari kama meya amefanya mengi yeye ajisumbue tu ccm huu ndio mwisho wao

Moshi hatutaki ubunge Wa kurithishana kwa alichokifanya ndesa kumrithisha jaffari akatupunguza morale ya kuwania kimemnyima ushindi jaffari, moshi tunaitaji mabadiliko kwakuwa tumeyakosa chadema sasa tunaenda kuyatafuta ccm chama ambacho hakijawahi kutawala moshi toka siasa za vyama vingi zianze
 
44652_429290307691_691812691_4797267_722599_n.jpg


Huyu ndio mmbunge ajaye wa moshi mjini kijana mwenye akili mingi sana na mmpenda mabdiliko bwana Priscus Tarimo, wengine wanajisumbua tu.
 
Kuiga ni kubaya sana,Kura za maoni ndani ya chama unatumia chopa kwa mji mdogo kama Moshi!
 
Huu pia ni uongo na unatumiwa tu na wale wanaofanya kampeni mitandaoni. CCm kwenye hizi kampeni watia nia wote wanakwenda kwa usafiri wa pamoja na kufanya kampeni pamoja. Yeye atatumiaje helikopta peke yake na anaongozwa na nani kama msimamizi wa kampeni hizo?

Ni kweli anazunguka na chopa Leo kama ungekuwa moshi ungejionea but he iz not smart kama huyu jamaa anaitwa boisafi
 
Hahahaha... Moderator futeni na hii thread inayomsifia.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli anazunguka na chopa Leo kama ungekuwa moshi ungejionea but he iz not smart kama huyu jamaa anaitwa boisafi
Then he is ignorant of the rules or he is just looking for publicity but not serious contender
 
Moshi lazima ibadilike sasa hivii.miaka20 ya upinzani bado moshi ina hadhi ndogo sanaa..kutoa usafi ambao ni kazi ya halmashaur hakuna maendeleo moshi kila mwakaa pako vilevle kama kijiji sasa ni zamu ya mabadilikoo ccm wachukue jmbo
 
Moshi lazima ibadilike sasa hivii.miaka20 ya upinzani bado moshi ina hadhi ndogo sanaa..kutoa usafi ambao ni kazi ya halmashaur hakuna maendeleo moshi kila mwakaa pako vilevle kama kijiji sasa ni zamu ya mabadilikoo ccm wachukue jmbo

U are very right freddie! Tunaitaji mabadiliko na kwa moshi tutayapata kwenye ccm
 
Moshi lazima ibadilike sasa hivii.miaka20 ya upinzani bado moshi ina hadhi ndogo sanaa..kutoa usafi ambao ni kazi ya halmashaur hakuna maendeleo moshi kila mwakaa pako vilevle kama kijiji sasa ni zamu ya mabadilikoo ccm wachukue jmbo

U are very right freddie! Tunaitaji mabadiliko na kwa moshi tutayapata kwenye ccm


Kampeni hazifanyiwi kwenye mitandao ya kijamii.. Muulizeni Wema Sepetu awaambie
 
Wengi wanaweza kushangaa kwanini jamaa anataka ubunge wakati ana kila kitu hasa utajiri na umaarufu ......
Lakini kanuni za binadamu ziko hivi
Kwanza unatafuta mahitaji ya lazima
Kisha unatafuta ziada(utajiri)
Halafu unatafuta umaarufu/kujulikana (kutoa michango/misaada kwenye kada mbalimbali, kuandikwa andikwa na vyombo vya habari nk
Kishapo heshima, mamlaka na utukufu
Sasa jamaa yuko hiyo hatua ya mwisho, baada ya hapo hakuna ziada

Umesema kweli Kama Lowasa anatafuta ziada na labda tamaa.
 
Wote wabinafsi CCM hapo Moshi kama devi mosha,kajitaidi kujitengezea umarufu lakin wakitot huwa anawapa Msaada walemavu wasio jiweza kila sikuku kupitia kanisa analo sali Lutheran kiborilon,Ila nenda kwake kaombe msaada unambiewa atoe Msaada kwa asie mjua,mpuzi kweli,mtto wake alikuwa anabarikiwa(kipaimara)alipiga kanisa lote rangi,Barbara akamwagia maji,nagari zakifaahari,ampo nikudhalilisha kanisa kwanini usipige rangi wakati wot mpaka mwanao ampokee ndio afanye,then basi atashere afanye yaki zushi nyumbani kwake haku watu wakaenda wakajua devi anabonge yasheree,wakaambuliwa kufukuzwa Sheree akafanyia Hai weruweru mwenzake ndesa kwake nikama home kukiwa na shereehe kila anaenda anakula hadi kubeba,kuleni kwa wachaga wanapenda kushirikian but kwa mosha icho ana,devi ni pandikizi la kikwete
 
Hizi story kuwa ukitupa Takataka barabarani nje na shimo.la taka huko Moshi unalipa faini ni za kweli?

Wala hawatanii mkuu ni papo kwa papo.. Huyo davis mosha anacheza makida, mkapa alishindwa kumweka shemeji yake hapo mwaka 2000
 
Huyu naye sheria za gharama za uchaguzi inamsubiri.
Ni bahati mbaya tu kuwa sheria hiyo inasimamiwa na Tume ya Uchaguzi ambayo iko usingizini
 
Back
Top Bottom