Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 547
- 348
Ikiwa imebaki siku moja kufanyika kura za maoni katika jimbo la moshi mjini Moja ya wagombea kupitia chama cha mapinduzi..
Devic Mosha ameamua kuzunguka na Helkopta jimbo zima la moshi mjini huku akimwaga vipeperushi mji mzima wa moshi.
Devis Mosha ni moja kati ya wagombea 12 wanaowania nafasi hiyo kupitia ccm huku akiwa na upinzani mkali kutoka muwania mwenzake Boisafi. Ambae anaushawishi mkubwa.
Devic Mosha ameamua kuzunguka na Helkopta jimbo zima la moshi mjini huku akimwaga vipeperushi mji mzima wa moshi.
Devis Mosha ni moja kati ya wagombea 12 wanaowania nafasi hiyo kupitia ccm huku akiwa na upinzani mkali kutoka muwania mwenzake Boisafi. Ambae anaushawishi mkubwa.