PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

hapo vipi?
kwanza zote ni picha,pili naona msigwa anaongea kwa uchungu sana pale anapoona tembo wanapotea wakat kinana anawashangaa watu waliopo pale wakati ukwel anaujua wa ufisad, nne namwona mwanamziki mashuhuri sana apa tz na kumpata huyo mwanamziki yakubidi uwe na zaidi ya million 10 wakat kwengine siwaon wanamziki zaidi ya pipo,tano naona kijan nying na watoto wengi wakat mwanza naona jez tofaut na hakuna watoto
 
Duh kwenye mkutano wa chadema ni kazi moja tu kuwasiliana na wananchi na wananchi wakiwa na makini , hakuna mlegeza makalio hapo eti chupi nje ndio sera za CCM hizo tangu enzi tumia John Koomba ambaye sikuhizi kawa kiwete hawezi kupanda majukwaa duh aibu
 

Mkuu umetisha!!
 
hata kwa kuwapa elfu mbili mbili na vi shirt isingeweza kuwahamasiha hao kidogo walio kuja bali wengi wao waliokuja ni wahanga wa vinga'muzi wa wamekuja kusikiliza muziki na show ikiisha nawao wanaondoka hawakai kusikiliza biashara pembe za ndovu
 

Wanacheza makidamakida na wanafikiri watu wanaweza fanyiwa sanaa ya usanii wakaiona ni sanaa ya siasa!Wakifanyiwa yale yalowakuta wenzao Lindi sijui Mtwara wanaanza kutafuta mchawi.Watafrah bila kufurahishwa.
 
hapo vipi?
samahani kwa kuquote picha na usumbufu wake bali nilitaka kujua yafuatayo:
1. hivi kwani hapo Morogoro ilikuwa onyesho la muziki au mkutano wa siasa?
2. Upigaji wa sarakasi na 'kata-K' umo kwenye irani ya ccm?
3. hizi picha zenye watoto ni za kweli au zimetengenezwa (photoshop)?
 

Mtazamo wako ni sahihi mkuu,hao watoto hapo huwezi sema walikuwa wanafuatilia kinachoongelewa hata baadhi ya watu wazima wamekuja tu coz kulikuwa na magari ya bure.
 
Chama kinachounda serikali ambacho kimeshindwa kuwasemea hata wanafunzi waliofeli kwa kiwango cha kutisha...inatumia masaa kadhaa kushambulia CHADEMA ambayo kila siku inasikika ikizungumzia hoja za maendeleo ya watu wa nchi hii.

Kweli, when God wants to destroy u, he makes u blind. CCM ni sikio la kufa.

Ndiyo maana Wasukuma husema, kwigwa kwa mbulu, mpaka mininga mugoto, kusikia kwa kenge hadi damu sikioni.
 
Weka mbali na TEMBO.
Hapa aliambiwa ameze Mic au?

 
nasikia walipita mashuleni kuomba walimu na wanafunzi wawepo siku hyo eti katibu mkuu wa ccm atakuwepo,kumbe ndivyo kwa kutumia uongozi wa kata.dahaa,imekula kwao.poleni chama tawala,mjirekebishe mtaeleweka kwa wananchi.....siyo vilaza kama wale wa zamani.
 
nasikia Nape aligusia 'elimu ndogo' ya Mh. Mbowe na Mh. Mnyika lakini wanasahau wakati ccm inaongozwa na Mzee Rashidi Kawawa ambaye elimu yake haikuwa kubwa ilikuwa na kiwango cha juu sana cha uwajibikaji na mwelekeo.
Masikini chama cha Mwalimu!
 
CCM kwa kupenda "ULUSINDE" = MATUSI. Hebu ona huyo msanii suruali yake "KATA K" mbele ya watoto!! Hawa watoto wakikua na kuwa Wabunge wa CCM si nao watavaa "Kata K" bungeni??
 

Makene wabeja sana ngoosha.Ukunu shinyanga i-ccm dabizii-itana guma-mahame.CCM ng'wagiti gete dodolooo!!!
 
Hiyo nyomi iliyokuwepo Mwanza viwanja vya mbugani baada ya mkutano nyomi nzima ilitembea kusindikiza gari la wabunge kwa mwendo wa kilometa zaidi ya 3.
CHADEMA kweli ni chama pendwa. Ukilinganisha na mkutano wa viongozi wa kitaifa kina Kinana na Nape unaona kabisa CCM iko kwenye jeneza ikitolewa salam za mwisho tayari kwa mazishi...
 
Sasa nimeelewa kwa nini CCM wanaitukana CHADEMA kama SHETANI anavyomtukana MUNGU!..Kumbukeni Kwa CHADEMA hakuna aliyelipiwa nauli wala kupewa maji ya kunywa...Kwa CCM bila hayo na muziki wataishia kujihutubia!Tufanye utafiti huenda wakuu wa shule za msingi walipewa bakshishi kuwakusanya wanafunzi kwenda kwny mkutano waCCM...
Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeploooooooooooooooooooooooooooooooooooooos!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…