Picha: Chui alivyookolewa baada ya kudumbukia kwenye kisima

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
chui.jpg



Chui akiwa kwenye kisimaMwanaume mmoja kutoka katika kijiji cha Guwahati nchini India amemuokoa chui kutoka kwenye kisima ambako alikuwa amedumbukia.
Angalia picha jinsi ilivyokuwa:
man2.jpg

Mawanaume huyo akipanda ngazi huku akiwa amembeba chui huyo


man3.jpg

Wananchi wakijitahidi kumvuta mwanaume huyo.
-via taarifa
 
View attachment 472604


Chui akiwa kwenye kisimaMwanaume mmoja kutoka katika kijiji cha Guwahati nchini India amemuokoa chui kutoka kwenye kisima ambako alikuwa amedumbukia.
Angalia picha jinsi ilivyokuwa:
man2.jpg

Mawanaume huyo akipanda ngazi huku akiwa amembeba chui huyo


man3.jpg

Wananchi wakijitahidi kumvuta mwanaume huyo.
-via taarifa
Kawa mpole utafikiri kucha zimeng'olewa,kweli kuishi kutamu.
 
Chui wa India ni Kama majoka vibisa hayana madhara.. Hayo ya kwenye zoo
 
View attachment 472604


Chui akiwa kwenye kisimaMwanaume mmoja kutoka katika kijiji cha Guwahati nchini India amemuokoa chui kutoka kwenye kisima ambako alikuwa amedumbukia.
Angalia picha jinsi ilivyokuwa:
man2.jpg

Mawanaume huyo akipanda ngazi huku akiwa amembeba chui huyo


man3.jpg

Wananchi wakijitahidi kumvuta mwanaume huyo.
-via taarifa
Hicho kitendo kimemuongezea credit huyo jamaa mtaani kwao
 
Back
Top Bottom