katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baada ya kukutwa inapakia watu kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
Siamini na sipati picha kama kuna binadamu anaweza kuja na hoja ya kichovu kama hii na kujaribu kushawishi watu waiamini. Unapaswa kujua kuwa Iringa, hususani Nyororo ni kijijini na usafiri wa kawaida ni pamoja na malori na hata matrekta katika baadhi ya maeneo! Hilo la kupanda malorfi lingemuudhi nani? Jipange upya hoja yako nahisi itakuwa ngumu kueleweka na kupokelewa!
ushazoea kushikwashika unadhani kila mtu yupo hivyo! toa usengerema wako hapa!Ndo mana mikutano inajaa kumbe wanasombwa na malori na humo kwenye malori ni full kuvuta bangi na kushikanashikana
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
kwani uoni watu wanagombania kuingia kwenye gari?
Mkuu Ritz,
Hao sio ndio hawaishi kusema mikutano ya CCM inajaa kwa sababu ya malori? Hivi hii imekaaje?
Chama
Gongo la mboto DSM
Tatizo lako mdogo wangu nalijua, ila sijaamini kusoma/kuangalia picha pia huwezi?? hiyo picha huyo askari (Nyuma) alikuwa anawatishia nini? ama ndio alikuwa anamtafuta Marehem Mwangozi? ok inamaana hata speak zipebwe vichwani?
Na hao wote waliopanda hiyo canter ni watangazaji.
Tatizo lako ni shule mdogo wangu!Wapi askari kawatisha mbona mnapenda kulia lia, yaani askari kuwatizama ndio kuwatisha.
Wapi askari kawatisha mbona mnapenda kulia lia, yaani askari kuwatizama ndio kuwatisha.
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
Ndo mana mikutano inajaa kumbe wanasombwa na malori na humo kwenye malori ni full kuvuta bangi na kushikanashikana
kweli naamini wote tulipewa akiri,ila kuzitumia ni uamzi wako,unaweza kutumia sana au kidogo,ritz wewe akiri yako hujawahi kuitumia hata kidogo,unatumia mapovu tu,ndiyo maana wewe ni kilaza kila kukicha.Wapi askari kawatisha mbona mnapenda kulia lia, yaani askari kuwatizama ndio kuwatisha.