Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
kwani uoni watu wanagombania kuingia kwenye gari?
Mkuu TIQO abu fungua macho yako vizur kwanin hii canter ibebe watu kuwapeleka kwenye mkutano?
Jeykeykwani uoni watu wanagombania kuingia kwenye gari?
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?
inaonyesha uanasiasa wako ni wa shule za msingi enzi za tanu.Mbona inaonyesha hujui kuumba hoja.na pia aliuawa si mwadosi bali ni mwangosi.Kwakuwa huyo unalipeta taarifa ni mwandosi hakuna haja ya kusikitika kwa sababu hajauliwa na polisi.
point yake ni kuwa hilo ndio lililowakela mpaka wakaua!Kwa hiyo unataka kusema nini? go straight to your point gay!
Usitumie makalio kufikiri Jeykey kama wanavyo tumia wanachama zako wa ccm akina zomba hiyo ni canter ya matangazo ya mkusanyiko wa uzinduzi unataka kuwaaminisha wajinga wenzio canter hii ndo ilikuwa inaondoka lringa kwenda Nyororo?Mkuu TIQO abu fungua macho yako vizur kwanin hii canter ibebe watu kuwapeleka kwenye mkutano?
katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
kweye lori (katika picha)
Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema
Sasa hapo guess nini kilifuata
Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?
Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?