Picha: Binti huyu mwanafunzi wa form 4 kapotea

Picha: Binti huyu mwanafunzi wa form 4 kapotea

Habari za leo ndugu zangu,

Picha ya huyo mtoto hapo chini anaitwa Makrina Lukas au Chanch kwa jina lililozoeleka.

Mtoto huyu yupo form four Shule ya Sekondari Magugu, Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara.

Mtoto huyu amepotea tarehe 04/02/2020, alitoka nyumbani saa moja na nusu asubuhi[emoji116].

Piga namba hizi: 0787316877 Baba yake (Lukas Doga) au 0754483431 (Venance Doga)

RB number: Magugu/190/2020

Usije ukakuta ameshaolewa maana vijana nao si wa mchezomchezo
 
Ukitazama kwa haraka ni lazima utahitimisha kwa kusema yuko kwa mwanaume, lakini vipi kama alikutana na watu wasio waungwana asubuhi ile?
 
Kama hana matatizo ya akili wasijali kuna siku atarudi tuu.. Yupo mahala salama anakula vinono, kuliko hao wazazi aliwaacha home.


Ni kweli kabisa, huenda yuko mahali fulani anakula viuno.
 
Back
Top Bottom