Picha: Amani Golugwa amsabahi Balozi Kallaghe

Picha: Amani Golugwa amsabahi Balozi Kallaghe

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803
[h=2] 06/10/2013[/h]

Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa alizuru na kufanya mazungumzo kidogo na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza (UK), Peter Kallaghe, kwenye ofisi za ubalozi huo zilizopo jijini London, Uingereza.




5417732_orig.jpg



7632404_orig.jpg




2623768_orig.jpg




Source: Golugwa amsabahi Balozi Kallaghe - wavuti.com
 
Safi sana,Wasije wakamrudisha balozi nyumbani kama walivyomrudisha yule aliyemkaribisha mzee Mtei Nyumbani kwake miaka ile.
 
Exllent posture. Ninachokiona ni roba ya mbao kwenye shingo ya maccm.
 
Huyu mchoma mahindi katokea wapi tena?
ha ha tapeli la uingereza hilo ooh nitakuja mwezi wa sita na malori ya kuzoa taka iringa mwaka unaisha halafu unajifanya matawi ya juu na kudharau watu huna maana
 
Safi sana,Wasije wakamrudisha balozi nyumbani kama walivyomrudisha yule aliyemkaribisha mzee Mtei Nyumbani kwake miaka ile.

Yule Antony Nyaki alikuwa balozi wa tz umoja wa mataifa alimkaribisha Edwin Mtei kwenye nyumba ya balozi AMERIKA ikahesabiwa kama amempa msaada wa fedha maana angemwacha alale guest basi Mwinyi akamfukuza kazi fasta fasta
 
Back
Top Bottom