Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,607
Viongozi wa Chadema wamejikuta katika wakati baada ya mikutano yao kupwaya na kujikuta wakihutubia watoto wadogo ambao wamejitokeza kushangaa mvumo wa helkopta. Watoto hao ambao hata hivyo hawakuwa wengi walisikiliza kwa umakini mkubwa viongozi wa CHADEMA hasa Mbunge wa Arusha Mjini Mheshimiwa sana Godbless Lema.
Viongozi mbalimbali wa Chadema wakiongozwa na Katibu Mkuu wao MHESHIMIWA sana Dr Wilbrod Peter Slaa ambae ameweka kambi Kalenga wamekuwa wakijikuta hawana watu wa kuwahutubia na badala yake kukusanya makundi ya watoto na kuwahutubia.
wakati hali ikiwaendea Kombo viongozi wa Chadema;
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya Cham Cha Mapinduzi (CCM) Kaka yangu Geofrey William Mgimwa ameendelea kufanya kampeni zenye kishindo kikuu zikionesha uwezo, nguvu mpya na ari mpya, ambapo katika mikutano yake ya hadhara idadi ya wananchi imekuwa ni kubwa sio kawaida, wakati mwingine hata katika mvua kubwa bado wananchi wamekuwa wakitaka mgombea huyo aendelee kuwahutubia wananchi na wao hukaa kwenye mvua huku wakipata maneno yenye matumaini na mwangaza mpya utakaokuja kung'arisha maisha yao.
Viongozi mbalimbali wa Chadema wakiongozwa na Katibu Mkuu wao MHESHIMIWA sana Dr Wilbrod Peter Slaa ambae ameweka kambi Kalenga wamekuwa wakijikuta hawana watu wa kuwahutubia na badala yake kukusanya makundi ya watoto na kuwahutubia.
wakati hali ikiwaendea Kombo viongozi wa Chadema;
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya Cham Cha Mapinduzi (CCM) Kaka yangu Geofrey William Mgimwa ameendelea kufanya kampeni zenye kishindo kikuu zikionesha uwezo, nguvu mpya na ari mpya, ambapo katika mikutano yake ya hadhara idadi ya wananchi imekuwa ni kubwa sio kawaida, wakati mwingine hata katika mvua kubwa bado wananchi wamekuwa wakitaka mgombea huyo aendelee kuwahutubia wananchi na wao hukaa kwenye mvua huku wakipata maneno yenye matumaini na mwangaza mpya utakaokuja kung'arisha maisha yao.