RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,861
- 2,754
hahahahahhaha....Mkuu wewe lazima utakuwa bingwa wa kusoma tabia za watu!... Haka kadem baada ya hii sred lazima atampiga kizinga motto wa marehemu!....Kademu ka mizinga, utakawezo?
hahahahahhaha....Mkuu wewe lazima utakuwa bingwa wa kusoma tabia za watu!... Haka kadem baada ya hii sred lazima atampiga kizinga motto wa marehemu!....Kademu ka mizinga, utakawezo?
Mikutano ni ya kusomba watu..??? kama nanyi mnao hao watu wa kuwasomba mbona mnahutubia watoto..?? Sombeni sio mnakodi chopa la mabilioni kisha mnalala CCM inasomba watu.
Tunawaambia kila mara.
Dhambi ya ubaguzi wa kikabila na kidini imeanza kuwatafuna CHADEMA kwa sasa nje ya CHADEMA baada ya kuimaliza ndani.
Huwezi kutoa maamuzi yenye misingi ya kikabila na kidini ukasalimika ndani ya chama. La hasha.
Law of Karma lazima ipitishe makali yake ili ikutafune kwa njia yoyote.
Duh sijui umerogwa
au ni kile kinywaji kikali ambacho babu anataka kihalalishwe hapa
nchini,,dah majanga.
Dada yangu nilikushauri kuwa kutokana na hii kwaresma umrudie Mungu husikii husikii unaona unavyo zidi kuwehuka angalia sana dada yangu familia yako na mie pia bado tunakupenda tafadhari rekebisha tabia yako maana hatua uliyo fikia ni wazi unaelekea kuokota makopo.!
Duh sijui umerogwa au ni kile kinywaji kikali ambacho babu anataka kihalalishwe hapa nchini,,dah majanga.
Umevurugwa. Musa tesha sio mgonjwa wa akili, alimwagiwa tindikali na katibu wa chadema mkoa wa kinondoni henry kileo (laana kuu imwendee). Chadema ni wauwaji, wamwaga damu, watoa rohoMwigulu anapotembea na wagongwa wa akili kina Tesha kwako siyo udharirishaji?
WALE NI WATU WAZIMA NDUGU TOFAUTISHA NA HAWA WATOTO
hatukatai LEMA awahutubie watoto, tatizo anatumia lugha kali sana.
Ulipo hapo ni marehemu, wataka kufa mara ngapi?akikuonesha wazaz wake mm najinyonga
Wewe wasema!.Chunga vidole vyako, serious.
Achana na hii propaganda chafu.