CCM B at work
ACT- TANZANIA Means Ant-Chadema Truely Tanzania. Hiki sio chama cha Upinzani, ni kikundi cha kupinga Chadema. Hakina mikakati ya kupinga chama tawala bali chama kikuu cha upinzani. CHADEMA.
Kutamka hivyo ndio kunakufanya upumue enhee!Ila naona watu hawana raha VP?. Mbona wamesinyaa km wapo kwenye msiba wa Komba?.
Nina wasi wasi huenda Zitto na Mbowe wanahujumu Upinzani bila ya watu tunaouunga mkono kujua,haiwezekani Zitto afukuzwe wakati wa uchaguzi mkuu umekaribia wakati ushawishi wa Zitto kisiasa unafahamika,kwanini hawakumfukuza miaka kadhaa ya nyuma?Nina wasiwasi fedha za escrow zinazosemekana kuchukuliwa na hawa mabwana wawili zimeanza kuzaa matunda.Kwa mara nyingine tena Watanzania mnaingizwa chaka na hawa makanjanja wawili.Poleni sana for trusting the wrong people, Lipumba pia simwamini maana naye alishawahi kumwokoa Kikwete.Siasa za Tanzania bana yaani pasua kichwa tu.
Kwa hapa Songea tuwe wakweli watu walifika wengi kwenye mkutano, ila nilichokiona ni kama chama fulani au mkakati wa chama fulani ulifanyika kwa kuwaandaa vijana wengi kuja mkutanoni na baada ya mkutano vijana hao waliokaa sehemu tofauti tofauti za mkutano, wakaanza kusema kwa hakika hawa ni wanaCCM, wametumwa wakitoa kashfa lukuki, na baadaye walionekana wakiwa vikundi vikundi katdiri ya mwelekeo wa watu wakisema wakitoa shutuma lukuki kwa ACT, na wale waliopanda kwenye madadala waliendelea kusema hayohayo, Hivyo ACT inapaswa kungalia kuwa wao wanapopanda mbegu nyuma kuna vijana wanapanda magugu