Pi (3.14159...) Katika Biblia

Pi (3.14159...) Katika Biblia

Habari wakuu unajua mnanichekesha sana kwa kawaida Pie yani 3.14 ilipatikana ni kuwa kila mzunguko wa duara ukiwa na urefu fulani ukadivide kwa diameter ya lile duara husika unapata jibu lile lile ndo ikawa constant inayoitwa pie kwa hivyo ni uwiano tu ambao kiakili za binadamu ni jambo dogo kwa mtu ambae angekuwa anafanya kazi hizo angeweza kukadiria
 
Yes the time frame you mentioned above is so big. But the ancient egyptians left the accounts of their history in written form. In some places they left the names of supervisors, engineers, and workers. Besides, the use of modern technology and the artifacts helps humanity reconstruct the past.

Je unajua ni data kiasi gani zinaweza kuharibika katika kipindi cha miaka 900 (2600-1700). Be sensible, Tanzania ina uhuru wa miaka 50 lakini ukikuta wazee waliokuwepo wakati wa uhuru watakuambiwa kuwa Tanzania ya leo ni maili kadhaa na ya wakati wa uhuru. Sembuse Tanzania ya miaka 900 ijayo, huyo anayeweza kupreserve historical artifacts ataweza kupatikana?
 
Je unajua ni data kiasi gani zinaweza kuharibika katika kipindi cha miaka 900 (2600-1700). Be sensible, Tanzania ina uhuru wa miaka 50 lakini ukikuta wazee waliokuwepo wakati wa uhuru watakuambiwa kuwa Tanzania ya leo ni maili kadhaa na ya wakati wa uhuru. Sembuse Tanzania ya miaka 900 ijayo, huyo anayeweza kupreserve historical artifacts ataweza kupatikana?

Do you know the meaning of data? Data you haven't collected can't be destroyed.
 
Habarini Wana JF,

Kwakweli teknolojia zote zimeanzia kwa watu tofauti tofauti na kuendelezwa,sababu hakuna kitu ambacho kimebakia kama kilivyo toka kigunduliwe,hapa inabaki principle ndiyo inayo endelezwa.Kipindi cha miaka mingi iliyopita wagunduzi hawakutengeneza Formula au principles.Ila waliofuatia walifikiri kuunda kitu kitakacho saidia dunia kufanya vitu kwa usawa ndipo walifikiri kuunda hizi kanuni mbali mbali.Ingawa siyo vitu vyote viligunduliwa kipindi hicho.Zamani walitumia upepo wa kusi au kasi ili kujua uelekeo,leo hii rada hivyo nimwendelezo wa vitu.Vitu vyote vilivyo tangulia kugunduliwa viliboreshwa na kuongezewa kanuni.Nuhu alitengeneza safina sasa tuna meri,kipindi cha nyuma wajenzi walitumia sprit level leo kuna tubu angavu hujazwa maji na kuleta levelsahihi katika misingi ya nyumba n.k,toka teknolojia ipande wanasayansi hutumia princples kwa kila kitu ndio maana tunakwenda shule sasa na tunaongea lugha moja kisayansi kama ilivyo biashara n.k.
 
Wewe ile methali ya "Nyani haoni kundule" inakufaa sana. Inasema hivi: Siku moja midume miwili ya nyani ilikuwa itangulizana. Ghafla lilokuwa nyuma likashtuka kuona lile la mbele lina rangi ya blue kwenye makalio. Likaanza kucheka mpaka karibia kuzirai. Lile lililokuwa mbele likauliza kuna nini cha kufurahisha namna hiyo? La nyuma ndiyo likazidi kuwa halijiwezi kwa kucheka, hivyo likawa linaonyesha kwa kidole tu makalio ya mwenziwe huku likifa kwa kucheka.

Nashangaa kuunguliwa kutoa ushahidi kusupport data zangu wakati wewe pia umenipa data za WaIsrael wa karne (664-610 BC) bila anything you can call evidence, mimi unataka nikupe evidence. Wazungu walisema " That is bullshit" kwa sababu kama ni data zako ni za kusoma katika vitabu au mitandao na mimi pia nasoma katika vitabu na mitandao. Iweje niitwe mimi mwongo kwa sababu tu kitabu ulichosoma wewe kinatofautiana na nilichosoma mimi?

Hahaha, kwa hiyo ulivoenda kusoma stori za Herodotus ndiyo umeibuka na hiyo hadithi kama mfano, 😛ound:
Uzuri wa Wamisri wa kale walikuwa advanced sana kaka, kiasi kwamba inawapa urahisi Egyptologists kupata lead na ushahidi wa matukio yaliyokuwa yanatukia kipindi hicho. Excavation katika kisiwa cha Elephantine zimevumbua artifacts za kutosha zinazoonesha hiyo Garisson iliyofika hapo ilitoka wapi na walikuja kufanya nini, pia kumekutwa maandiko (Elephantine Papyri) yaliyodocument vyema maisha ya kila siku ya hao wanajeshi, kama wewe hauuoni huo ushahidi basi una lako jambo, mawazo yako yamepindia upande ambao unaweza kufanya lolote ili kuutetea, kwa lugha nyingine umekuwa SHABIKI!

The Jews Of Egypt.gif
Soma hiki.
 
Je unajua ni data kiasi gani zinaweza kuharibika katika kipindi cha miaka 900 (2600-1700). Be sensible, Tanzania ina uhuru wa miaka 50 lakini ukikuta wazee waliokuwepo wakati wa uhuru watakuambiwa kuwa Tanzania ya leo ni maili kadhaa na ya wakati wa uhuru. Sembuse Tanzania ya miaka 900 ijayo, huyo anayeweza kupreserve historical artifacts ataweza kupatikana?

Wewe data zilizoharibika unazijua? tunaongelea zilizopo, kama una ushahidi wa data kuharibika lete, siyo kwa vile hazipo basi zimeharibika!!!!
 
Just simple mkuu pi is a ratio of any circumference of a circle to its diameter. I we kwa kujua au kutokujua hiyo pi ipo pale hata mtoto mdogo asiyejua akitengeneza circle basi pi ipo pale mkuu.
 
Wewe data zilizoharibika unazijua? tunaongelea zilizopo, kama una ushahidi wa data kuharibika lete, siyo kwa vile hazipo basi zimeharibika!!!!

Zipo za miaka 900? Balaa sasa! Basi mnayo elimu nyingi sana ya kujua artifact ya mwaka 2600BC. Mimi ninavyojua miaka ya archeological findings huwa estimated kwa vipndi hata vya interval ya miaka hamsini mpaka mia. Wewe unafix vipindi maalum kutumia kigezo hiko.
 
Hahaha, kwa hiyo ulivoenda kusoma stori za Herodotus ndiyo umeibuka na hiyo hadithi kama mfano, 😛ound:
Uzuri wa Wamisri wa kale walikuwa advanced sana kaka, kiasi kwamba inawapa urahisi Egyptologists kupata lead na ushahidi wa matukio yaliyokuwa yanatukia kipindi hicho. Excavation katika kisiwa cha Elephantine zimevumbua artifacts za kutosha zinazoonesha hiyo Garisson iliyofika hapo ilitoka wapi na walikuja kufanya nini, pia kumekutwa maandiko (Elephantine Papyri) yaliyodocument vyema maisha ya kila siku ya hao wanajeshi, kama wewe hauuoni huo ushahidi basi una lako jambo, mawazo yako yamepindia upande ambao unaweza kufanya lolote ili kuutetea, kwa lugha nyingine umekuwa SHABIKI!

View attachment 135487
Soma hiki.

Thank you for showing me where you say there is evidence. Na mimi nimesoma Research within Academic Books, Articles and Research Topics | Questia, Your Online Research Library na kukuta kweli kuna Professor wetu amefanya research miaka ya 1976 na kukutana mpaka na photographs za Waisrael na Wamisri wa miaka ya 640 BC (maajabu haya!!!). Ngoja nisome na mimi nitakupa sababu kwa nini msimamo wa professor una kasoro. Usiwe kama ardent undergraduate unayetaka kupata degree kwa kutoa yale aliyosema professor tu, mengine huwa ni makosa ya kujazia sylabus tu. Give me time so that I can write out a fitting opinion on your professors lecture notes.
 
Do you know the meaning of data? Data you haven't collected can't be destroyed.

Kuharibika kwa data nilimaanisha data kuwepo lakini haiko katika hali ya kukusaidia kujua taarifa halisi zilizokuwemo katika data hiyo. You are left free to make your own choice of whether it is the information that you are putting up that is truely the information that was. Nidyo maana kila kukicha utakuta Scientists wanapingana kuhusu jambo lilelile baada ya muda. Siyo kwamba napingana na utafiti wako na maprofessor wako! Hapa naelezea data iliyopo lakini imeharibika!
 
Hata hivyo angalia vizuri hiyo hesabu ya Hiramu, the guy was off, na naweza kusema kuwa huo mcheduara wake haukuwa perfect; Kama diameter ilikuwa 10 cubits, na mzingo 30 cubits basi kama ni kutumia pie alitumia 3.0!...kitu ambacho hakipo. Kwa hakika mzingo ulitakiwe uwe 31.4 cubits. Au mimi nimeanza kusahau hesabu za primary wakuu?

Heri wewe umeanza kusahau...mimi hata sikumbiki!
 
Kuharibika kwa data nilimaanisha data kuwepo lakini haiko katika hali ya kukusaidia kujua taarifa halisi zilizokuwemo katika data hiyo. You are left free to make your own choice of whether it is the information that you are putting up that is truely the information that was. Nidyo maana kila kukicha utakuta Scientists wanapingana kuhusu jambo lilelile baada ya muda. Siyo kwamba napingana na utafiti wako na maprofessor wako! Hapa naelezea data iliyopo lakini imeharibika!

In your explanations you abuse the meaning of data entirely. When you look at pyramids you don't see data there. What you see there are historical artifacts or body of evidence that could assist you or anybody extract data of their choices. For example, a medical doctor, anthropologist and religious scholar will draw different data sets when they examine the same Egyptian mummy.

It's true that overtime the qualities of historical artifacts and body evidence will deteriorate. However, that doesn't imply that the data extracted is inadequate for analysis.
 
Mungu mwenye ndiye Baba wa sayansi, sayansi ya binadamu ni katika kufuatilia tu uumbaji wa Mungu hakuna kipya, mfano kuna uwezekana na baadhi ya wadau wanadai kua pale nabii eliya alipoomba kwa Mungu moto ili kuchoma myama aliyemweka kama sadaka wakati akiwa katika kutafuta Mungu wa kweli namanabii wa baali, wanadai kwamba moto ule ulioshuka na kuteketeza ile sadaka mpaka na maji na moto unaweza kuwa na nguvu za kinyukilia kwa maana nguvu pekee yenye uwezo huo ni nyukilia, kwa hint hiyo na mengine mengi utapata ushahidi kwamba Mungu ndiye baba wa sayansi
 
In your explanations you abuse the meaning of data entirely. When you look at pyramids you don't see data there. What you see there are historical artifacts or body of evidence that could assist you or anybody extract data of their choices. For example, a medical doctor, anthropologist and religious scholar will draw different data sets when they examine the same Egyptian mummy.

It's true that overtime the qualities of historical artifacts and body evidence will deteriorate. However, that doesn't imply that the data extracted is inadequate for analysis.

Data is the collection of information relating to a given subject matter under study. Data may be visual, experimental, electronic or merely empirical. A pyramid constitutes a source of data but if the pyramid has been worn out by desert winds it shall present data that is deformed. That is not deterioration of data the way you seem to imply. That is a complete destruction of data because the way you come to interpret the data may be very far removed from reality.

What we do is to assume that the data we collect is reasonably accurate to a tolerable degree. That is why we include limits of tolerance by plus or minus some given order of our error. The data you call your proof is data that has been exposed to so many STOCHASTIC variations that the data is obviously doubtful.

Damn you, you almost sent me back to the Lecture Hall to explain to you such a damn small matter.
 
Data is the collection of information relating to a given subject matter under study. Data may be visual, experimental, electronic or merely empirical. A pyramid constitutes a source of data but if the pyramid has been worn out by desert winds it shall present data that is deformed. That is not deterioration of data the way you seem to imply. That is a complete destruction of data because the way you come to interpret the data may be very far removed from reality.

What we do is to assume that the data we collect is reasonably accurate to a tolerable degree. That is why we include limits of tolerance by plus or minus some given order of our error. The data you call your proof is data that has been exposed to so many STOCHASTIC variations that the data is obviously doubtful.

Damn you, you almost sent me back to the Lecture Hall to explain to you such a damn small matter.

Please read your own statement. A pyramid is a source of data whereas data about the pyramid is the information you extract from the pyramid. So data and and its source are two different things. Further, having a deformed source of data doesn't imply the data you extract is inadequate for analysis.
 
Hakutumia pi
Nadhani baada ya kupima mikono 10 alipima nusu ya hiyo, yaani mitano, akakita kijiti na kamba huku na huku akazungusha mduara.
 
Hakutumia pi
Nadhani baada ya kupima mikono 10 alipima nusu ya hiyo, yaani mitano, akakita kijiti na kamba huku na huku akazungusha mduara.

Kumbe unadhani! Huna uhakika mkuu Tuko?
 
Last edited by a moderator:
Please read your own statement. A pyramid is a source of data whereas data about the pyramid is the information you extract from the pyramid. So data and and its source are two different things. Further, having a deformed source of data doesn't imply the data you extract is inadequate for analysis.

Sasa wewe unataka ushindi kwa hoja za nguvu! When you extract information from the pyramid, is the pyramid not the source of the data Mimi natofautisha kati ya kukuta maandishi kuwa pyramid hii ilijengwa mwaka 1800 BC na kuchukua fossil ya tofali na kuliweka katika acid halafu ukaangalia reaction yake na kukadiria kuwa reaction hiyo ni ya udongo wa mwaka 1800BC. Wewe data unayozungumzia ni aina ya pilina hii hatuiti ushahidi bali finding ya Professor wako. Kesho mimi nitakutana na Professor anayetumia mionzi ya Ihfrared aseme no fosil hilo lilitokea mwaka 640 BC.

Analysis ya data from a deformed source ni defective ab initio.
 
Sasa wewe unataka ushindi kwa hoja za nguvu! When you extract information from the pyramid, is the pyramid not the source of the data Mimi natofautisha kati ya kukuta maandishi kuwa pyramid hii ilijengwa mwaka 1800 BC na kuchukua fossil ya tofali na kuliweka katika acid halafu ukaangalia reaction yake na kukadiria kuwa reaction hiyo ni ya udongo wa mwaka 1800BC. Wewe data unayozungumzia ni aina ya pilina hii hatuiti ushahidi bali finding ya Professor wako. Kesho mimi nitakutana na Professor anayetumia mionzi ya Ihfrared aseme no fosil hilo lilitokea mwaka 640 BC.

Analysis ya data from a deformed source ni defective ab initio.

You have won the debate. But I have one question. Kwa mfano ukifanikiwa kupata ancient man-made object na kuiweka katika acid halafu ukaangalia reaction yake na kukadiria kuwa reaction hiyo ni ya udongo wa mwaka 40,000BC, je utakubali kuwa dunia ilianza zaidi ya miaka 6000 iliyopita?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom