jogoolashamba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 348
- 71
You have won the debate. But I have one question. Kwa mfano ukifanikiwa kupata ancient man-made object na kuiweka katika acid halafu ukaangalia reaction yake na kukadiria kuwa reaction hiyo ni ya udongo wa mwaka 40,000BC, je utakubali kuwa dunia ilianza zaidi ya miaka 6000 iliyopita?
Huyo atakayeleta hayo nina hakika atakuwa ni Professor, na maProfessor wana madarasa, hivyo habari hizo lazima zitakuwa REFERENCE kwa undergraduate wote ili wafaulu mitihani yao. Matokeo yake habari zitasambaa mpaka zionekane ni za kweli hata kama Professor alizipublish kwa kutaka umaarufu tu aandikwe katika historia ya wagunduzi.
Yahya yule Mnajimu wa Afrika Mashariki (alikuwa mwongo kwelikkweli) alisema hivi:" Ukitaka kusema uongo, endelea kuurudiarudia, watu wote hata wenye akili timamu wataamini kuwa ndiyo ukweli."
Kwa hiyo tutaweza kuhoji tu kama atatokea Professor mwingine mwenye alternative DATA.