Pi (3.14159...) Katika Biblia

Pi (3.14159...) Katika Biblia

Kwenu wapi? kwa fact zipi?!!!
Where did addition come from?

Why does addition work?

FYI: God's language is Math. From Alpha to Omega–the Numbers That Encode the Deepest Secrets of the Universe seems to mirror Scriptural injunctions concerning “the works of God’s hands” that endure “from age to age.”
 
Where did addition come from?

Why does addition work?

FYI: God's language is Math. From Alpha to Omega–the Numbers That Encode the Deepest Secrets of the Universe seems to mirror Scriptural injunctions concerning "the works of God's hands" that endure "from age to age."

Bado haujajibu swali!!!
 
Where did addition come from?

Why does addition work?

FYI: God's language is Math. From Alpha to Omega–the Numbers That Encode the Deepest Secrets of the Universe seems to mirror Scriptural injunctions concerning “the works of God’s hands” that endure “from age to age.”


Kweli hii ndio math, tena SUPER

Jesus’ Predictions:

1) Jesus falsely prophesies DIRECTLY to the high priest (Caiphas) that he would live to see his second coming. Jesus uses the term “coming on the clouds of heaven”. This clearly negates the “coming” as the resurrection but as a return to the earth on CLOUDS, not his return in human form from the dead. Matthew 26:64 & Mark 14:62.


"But I tell you: From now on you will see 'the Son of Man seated at the right hand of the Power' and 'coming on the clouds of heaven.'" (Matthew 26:64 NAB)


Then Jesus answered, "I am; and 'you will see the Son of Man seated at the right hand of the Power and coming with the clouds of heaven.'" (Mark 14:62 NAB)

2)
Jesus mistakenly tells his followers that he will return and establish his kingdom within their lifetime. Matthew 23:36 & 24:34


Amen, I say to you, all these things will come upon this generation.
(Matthew 23:36 NAB)


"Immediately after the tribulation of those days, the sun will be darkened, and the moon will not give its light, and the stars will fall from the sky, and the powers of the heavens will be shaken. And then the sign of the Son of Man will appear in heaven, and all the tribes of the earth will mourn, and they will see the Son of Man coming upon the clouds of heaven with power and great glory. And he will send out his angels with a trumpet blast, and they will gather his elect from the four winds, from one end of the heavens to the other. "Learn a lesson from the fig tree. When its branch becomes tender and sprouts leaves, you know that summer is near. In the same way, when you see all these things, know that he is near, at the gates. Amen, I say to you, this generation will not pass away until all these things have taken place. Heaven and earth will pass away, but my words will not pass away. (Matthew 24:29-35 NAB)


3) YET AGAIN, Jesus claims those standing RIGHT BEFORE HIM shall see the Armageddon. Matthew 16:28 “There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of Man coming in his kingdom.” Don’t let Christians lie to you and claim Jesus was referring to his modern day believers. The words “some standing HERE will not taste death” clearly refutes such nonsense. Obviously the people he was speaking to died, and curiously Jesus STILL isn’t here to claim his kingdom.


4) Jesus falsely prophesies that the end of the world will come within his listeners’ lifetimes.
Amen, I say to you, this generation will not pass away until all these things have taken place. Heaven and earth will pass away, but my words will not pass away. (Mark 13:30-31 NAB) He also said to them, "Amen, I say to you, there are some standing here who will not taste death until they see that the kingdom of God has come in power." (Mark 9:1 NAB)


5) Jesus falsely predicts that some of his listeners would live to see him return and establish the kingdom of God.
"Truly I say to you, there are some standing here who will not taste death until they see the kingdom of God." (Luke 9:27 NAB)


6) Jesus implies that he will return to earth during the lifetime of John. (John 21:22)


7) Jesus says that all that he describes (his return, signs in the sun, moon, wars, stars, etc.) will occur within the lifetime of his listeners. He purposely defines their generation and NOT a future one. Considering that NONE of those signs took place during the resurrection and that he uses the term of “Heaven and earth shall pass away”, Clearly Jesus is prophesizing that nearly 2,000 years ago Armageddon SHOULD have occurred. Luke 21:25-33



"There will be signs in the sun, the moon, and the stars, and on earth nations will be in dismay, perplexed by the roaring of the sea and the waves. People will die of fright in anticipation of what is coming upon the world, for the powers of the heavens will be shaken. And then they will see the Son of Man coming in a cloud with power and great glory. But when these signs begin to happen, stand erect and raise your heads because your redemption is at hand." He taught them a lesson. "Consider the fig tree and all the other trees. When their buds burst open, you see for yourselves and know that summer is now near; in the same way, when you see these things happening, know that the kingdom of God is near. Amen, I say to you, this generation will not pass away until all these things have taken place. Heaven and earth will pass away, but my words will not pass away. (Luke 21:25-33 NAB)


[Editor's note: Matthew 10:23 also has Jesus telling his disciples that the second coming will occur before the disciples finish preaching in Israel: "When they persecute you in one town, flee to another. Amen, I say to you, you will not finish the towns of Israel before the Son of Man comes." (Matthew 10:23 NAB)]

John’s Predictions

8)
John believes “the time is at hand,” and that the things that he writes about in Revelation will “shortly come to pass.” Revelations 1:1-3


9) John quotes Jesus (1900 years ago) as saying he will come “quickly.” Revelations 22:7, 12 & 20

10)
John thinks he is living in “the last times.” He “knows” this because he sees so many antichrists around. 1 John 2:18


11) John says that the antichrist was already present at the time 1 John was written. 1 John 4:3

12)
John quotes Jesus (1900 years ago) as saying he will come “quickly.” Revelations 3:11, 22:7, 12 & 20


Paul’s Predictions



13) Paul thought that the end was near and that Jesus would return soon after he wrote these words. Philippians 4:5

14)
Paul believes he is living in the “last days.” Hebrews 1:2


15)
Paul believed that Jesus would come “in a little while, and will not tarry.” Hebrews 10:37


16)
In 1 Thessalonians 4:16-17 Paul stated: “For the Lord himself shall descend from heaven with a shout, with the voice of the archangel, and with the trump of God: And the dead Christ shall rise first: Then we which are alive and remain shall be caught up together with them in the clouds to meet the Lord in the air: And so shall we ever be with the Lord.”

Paul shared the delusion, taught by Jesus, in that he expected to be snatched up bodily into heaven with other saints then living, who would, thus, never taste death.

The use of “we” clearly proves as much.

It is difficult to deny that Paul was certain that the end of the world was coming in the lifetime of his contemporaries.
 
Unafahamu maana ya "fact" au unaropoka tu?


[h=1]Flying insects have 4 legs? Some birds have 4 legs?[/h]

"All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you. There are, however, some winged creatures that walk on all fours that you may eat: those that have jointed legs for hopping on the ground. (Leviticus: 10:20-21)"


These verses claim that there are winged creatures (birds or insects) that go around on all fours.

Note: There are no birds that go around on four legs, and all insects have six legs.
 
Flying insects have 4 legs? Some birds have 4 legs?



"All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you. There are, however, some winged creatures that walk on all fours that you may eat: those that have jointed legs for hopping on the ground. (Leviticus: 10:20-21)"


These verses claim that there are winged creatures (birds or insects) that go around on all fours.

Note: There are no birds that go around on four legs, and all insects have six legs.
ALLAH ALIUGUA MACHO:

"Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
 
Flying insects have 4 legs? Some birds have 4 legs?



"All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you. There are, however, some winged creatures that walk on all fours that you may eat: those that have jointed legs for hopping on the ground. (Leviticus: 10:20-21)"


These verses claim that there are winged creatures (birds or insects) that go around on all fours.

Note: There are no birds that go around on four legs, and all insects have six legs.
KUTOKANA NA BIBLIA: ALLAH NI MUONGO

Waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidni wamekuwa na tabia ya kutumia aya 18-19 iliyopo katika Luka Sura ya 18, inayo sema Mungu Ndiye Mwema. Waislam wanadai kuwa, katika aya hii, Yesu amekana kuwa yeye si "MWEMA" na kuwa Mungu Pekee ni Mwema, hivyobasi, kukana kwa Yesu kuwa yeye si Mwema kunapinga Madai ya Wakristo kuwa Yesu ni Mungu.

Kwa hivyo utaona kuwa wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema kuwa eti Yesu amekana kuwa yeye si MWEMA. Fundisho hili la "MUNGU PEKEE NDIYE MWEMA" wanalieneza kwa kupitia Mitandao mbalimbali kama ya Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila Mkristo, je, ni kweli Yesu alikana kuwa yeye si MWEMA? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli wa aya hii:


Biblia inasema kuwa MUONGO ni yeyote Yule anaye sema Yesu si Kristo na anaye Mkana Baba(Yehovah) na Mwana (Yesu).
1 Yohana 2:22-26
[SUP]22 [/SUP]Je, mwongo ni nani? Mwongo ni yule anayekana kwamba Yesu si Kristo. Mtu huyo ndiye mpinga-Kristo, anayemkana Baba na Mwana. [SUP]23 [/SUP]Mtu anayemkana Mwana hawezi kumjua Baba; mtu anayemkiri Mwana anamjua na Baba pia.
[SUP]24 [/SUP]Hakikisheni kwamba ujumbe mliosikia tangu mwanzo unadumu mioyoni mwenu. Ujumbe huo ukikaa mioyoni mwenu, ninyi pia mtadumu ndani ya Mwana na ndani ya Baba. [SUP]25 [/SUP]Na yeye ametuahidi uzima wa milele.
[SUP]26 [/SUP]Ninawaandikia mambo haya kuhusu wale wanaojaribu kuwapo tosha.
Allah wa Koran anamkata Yesu kama Mwana na anakana kuwa Yehovah si Baba wa Yesu.

katika surat-Nisai 171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu.

Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka
Leo tumejifunza kuwa ALLAH SI MUNGU na ni Muongo kutokana na Biblia.
 
Flying insects have 4 legs? Some birds have 4 legs?



"All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you. There are, however, some winged creatures that walk on all fours that you may eat: those that have jointed legs for hopping on the ground. (Leviticus: 10:20-21)"


These verses claim that there are winged creatures (birds or insects) that go around on all fours.

Note: There are no birds that go around on four legs, and all insects have six legs.
KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH
Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?


Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?

Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.

Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:

Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad

Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism

Labid:-mshairi mwingine

Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad

Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad

Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria

Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad

Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo

Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad

Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija

Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake

Muhammad: – Mwenyewe

Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.

Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.

Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.

Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:

4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.

17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.


2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.

2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.


3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.

*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***

Jabr:
Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:

Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251

Zaburi alipewa Daudi ... 4:163

Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55

Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78

Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79

Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80

Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105

Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15

Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16

Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17

Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11

Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20

Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25

Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26


*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***

Ibn Qumta
Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.

Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:
' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.

Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '

Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .
23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;

23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti

23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!

Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):

Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.

Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .

Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.

Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.

Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi

Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]

7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.

Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili

Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .

Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.

Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas

Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.

Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]

Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.

Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).

WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE

Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:

Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31

Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24

Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83

Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5

Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68

Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17

Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15


HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.

Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .

Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.

Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.

Alter ego

Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.


Muhammad

Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.

Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.

Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.

Katika huduma yake.

Max Shimba

For Max Shimba Ministries



Copyright © Max Shimba Ministries 2013
 
[h=1]Flying insects have 4 legs? Some birds have 4 legs?[/h]

"All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you. There are, however, some winged creatures that walk on all fours that you may eat: those that have jointed legs for hopping on the ground. (Leviticus: 10:20-21)"


These verses claim that there are winged creatures (birds or insects) that go around on all fours.

Note: There are no birds that go around on four legs, and all insects have six legs.

Hujui usemalo wewe aswadic kafir
 
Hujui usemalo wewe aswadic kafir

Kumbe unatumia hata id hii , au maxi shimba anakufix

Flying insects have 4 legs? Some birds have 4 legs?

"All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you. There are, however, some winged creatures that walk on all fours that you may eat: those that have jointed legs for hopping on the ground. (Leviticus: 10:20-21)"


These verses claim that there are winged creatures (birds or insects) that go around on all fours.

Note: There are no birds that go around on four legs, and all insects have six legs.
 
KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH
Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?


Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?

Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.

Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:

Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad

Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism

Labid:-mshairi mwingine

Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad

Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad

Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria

Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad

Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo

Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad

Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija

Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake

Muhammad: – Mwenyewe

Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.

Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.

Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.

Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:

4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.

17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.

21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.


2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.

2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.


3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.

*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***

Jabr:
Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:

Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251

Zaburi alipewa Daudi ... 4:163

Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55

Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78

Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79

Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80

Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105

Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15

Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16

Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17

Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11

Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20

Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25

Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26


*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***

Ibn Qumta
Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.

Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:
' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.

Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '

Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .
23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;

23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti

23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!

Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):

Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.

Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .

Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.

Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.

Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi

Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]

7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.

Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili

Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .

Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.

Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas

Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.

Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]

Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.

Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).

WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE

Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:

Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31

Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24

Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83

Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5

Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68

Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17

Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15


HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.

Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .

Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.

Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.

Alter ego

Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.


Muhammad

Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.

Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.

Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.

Katika huduma yake.

Max Shimba

For Max Shimba Ministries



Copyright © Max Shimba Ministries 2013


Scientific Absurdities:


  1. Proverbs 6:6-8, ants have no commander, no ruler and no overseer! This is absurdly false, because ants live in colonies and ranks of rulership and authority. And they have a queen.
  2. Compare this falsehood to the Holy Quran's Scientific Miracle about the ants ranks and 4 layers of communications which scientists today have recently confirmed: Ants do indeed talk to each others as the Holy Quran Stated!
  3. Revelations 12:1-9, the dragon will enter heaven and wage war with the angels! It is a classic fairy tale from a magical world.
  4. Matthew 27:51-53, the resurrection of the dead at crucifixion is not mentioned by three gospels, and is considered a fairy tale according to Bibles' commentaries.
  5. Judges 9:7-16, trees voted for their own King. Judges 9:8 "The trees went forth on a time to anoint a king over them."
  6. Carm.org said: "The Bible contains many different styles of writing such as poetry, narration, fiction, history, law, and prophecy and must be interpreted in context of those styles."
  7. Leviticus 11:20-23, "All flying insects that walk on all fours are to be detestable to you." No insect with four legs exists. Insects have six legs and six feet.
  8. Leviticus 11:6 "The rabbit, though it chews the cud, does not have a split hoof; it is unclean for you." Rabbits, are lagomorphs, not ruminants; they do not chew the cud.
  9. The earth is flat, has four corners, is standing on pillars that prevent it from shaking, and is immovable. (1 Samuel 2:8, Job 9:6, Job 38:4, Isaiah 11:12, Revelation 7:1, Job 38:13, Jeremiah 16:19, Daniel 4:11, Psalm 93:1-3, Psalm 96:10, Psalm 104:5, 1 Chronicles 16:30, Matthew 4:8)
  10. Daniel 4:10-11 declares the earth is flat, "10 These are the visions I saw while lying in my bed: I looked, and there before me stood a tree in the middle of the land. Its height was enormous. 11 The tree grew large and strong and its top touched the sky; it was visible to the ends of the earth."
  11. Matthew 13:31-32 "He (Jesus) told them another parable: "The kingdom of heaven is like a mustard seed, which a man took and planted in his field. Though it is the smallest of all your seeds," The mustard seed is not the smallest of all seeds. Others, such as the orchid seed, are smaller.
  12. Mark 16:18 "they will pick up snakes with their hands; and when they drink deadly poison, it will not hurt them at all; they will place their hands on sick people, and they will get well." Christians so bothered by the falsehood of this verse due to the many fatalities they suffered because of it, that the Bible theologians insist on denying these verses by saying: "The most reliable early manuscript and other ancient witnesses do not have Mark 16:9-20." [1] [2].
  13. John 12:24 "I tell you the truth, unless a kernel of wheat falls to the ground and dies, it remains only a single seed. But if it dies, it produces many seeds." That is scientifically false. The dead seed does not produce new seeds.
  14. James 5:3 gold and silver do rust.
  15. Genesis 1:16, GOD Almighty created two lamps, the sun and the moon, each giving an independent light to earth. The Hebrew says "two lamps", meaning each giving off its independent light. Visit: Genesis 1:16 Lexicon: God made the two great lights, the greater light to govern the day, and the lesser light to govern the night; He made the stars also..
  16. Leviticus 12:2-5, a female causes double the pollution when she's born than that of a boy. The mother remains unclean for 66 days after birth of a female instead of 33 days if she gives birth to a male.
  17. Please visit: How do the Bible and the Noble Quran view women?
  18. 1 Corinthians 2:15 The spiritual leader is above the law; he is the supreme Law! He "The spiritual man makes judgment about all things, but he himself is not subject to any man's judgment."
  19. The problem with this verse is that it is absurd at best, because the Christian spiritual leaders of all denominations are historically notorious in getting exposed with too much scandals in corruption, stealing, misusing the donations to themselves, prostitutions, homosexuality, too much pedophilia, and even war mongering and persecutions. So how can any man of any faith, who as a human can go astray any time, be above and beyond the Law that he himself is even looked at and is treated as the Supreme Law?
  20. 1 Kings 11:4 "As Solomon grew old, his wives turned his heart after other gods."

    2 Kings 23:12-14
    12 He pulled down the altars the kings of Judah had erected on the roof near the upper room of Ahaz, and the altars Manasseh had built in the two courts of the temple of the LORD. He removed them from there, smashed them to pieces and threw the rubble into the Kidron Valley.
    13 The king also desecrated the high places that were east of Jerusalem on the south of the Hill of Corruption-the ones Solomon king of Israel had built for Ashtoreth the vile goddess of the Sidonians, for Chemosh the vile god of Moab, and for Molech the detestable god of the people of Ammon.
    14 Josiah smashed the sacred stones and cut down the Asherah poles and covered the sites with human bones.
  21. King Solomon was one of the Bible's Prophets with several books written by him. This verse proves that he never believed that he was a Prophet, nor was he ever inspired by GOD Almighty, which means that the Bible's books are not the True Word of GOD Almighty.
 
Scientific Absurdities:


  1. Proverbs 6:6-8, ants have no commander, no ruler and no overseer! This is absurdly false, because ants live in colonies and ranks of rulership and authority. And they have a queen.
  2. Compare this falsehood to the Holy Quran's Scientific Miracle about the ants ranks and 4 layers of communications which scientists today have recently confirmed: Ants do indeed talk to each others as the Holy Quran Stated!
  3. King Solomon was one of the Bible's Prophets with several books written by him. This verse proves that he never believed that he was a Prophet, nor was he ever inspired by GOD Almighty, which means that the Bible's books are not the True Word of GOD Almighty.
The Setting of the Sun
One of the questions which puzzled the ancient Arabs was, "Where did the sun go when night time came?" The Qur'an gave them Allah's answer.
[TABLE="width: 350, align: center"]
[TR]
[TD]He [i.e. Zul-qarnain] followed, until he reached the setting of the sun. He found it set in a spring of murky water.
(Surah XVIII ( Kahf) vs. 85-86)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
The Setting of the Sun
One of the questions which puzzled the ancient Arabs was, "Where did the sun go when night time came?" The Qur'an gave them Allah's answer.
[TABLE="width: 350, align: center"]
[TR]
[TD]He [i.e. Zul-qarnain] followed, until he reached the setting of the sun. He found it set in a spring of murky water.
(Surah XVIII ( Kahf) vs. 85-86)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

murky water ndio kitu gani mkuu?
 
Hi everyone.

Katika kitabu cha Wafalme (1Fal 7:23-26), tunasoma kuwa Mfalme Sulemani aliagiza mtu mmoja aitwaye Hiramu kutoka Tiro, kutengeneza beseni(?) kubwa la maji (mfano wa mcheduara) kwa ajili ya kupamba Hekalu Jipya.

Ni wazi kuwa ili utengeneze chombo chenye umbo la mcheduara (cylindrical shaped object) itakulazimu angalau ujue matumizi ya Pi.

Ebu tuangalie vipimo alivyotumia huyu Hiramu mtu mwenye hekima na akili aliyetengeneza beseni(?) kubwa la shaba.

Kipenyo = mikono 10 (180 cubits), urefu kwenda juu = mikono 5 (90 cubits), Pi = 3.14159..., mzingo (circumference)?

Mzingo = Pi*kipenyo au 2*Pi*nusu kipenyo.
= 3.14159*10 = 31.4159 (appr. 30)

"Tena akafanya bahari ..., na uzi wa mikono therathini kuizunguka kabisa". Rejea 1Fal 7:23-26.

Swali la kujiuliza: hivi huyu Hiramu alijuaje kuwa ni lazima kutumia Pi enzi zile za zamani kabla ya sayansi na maarifa havijashika kasi kubwa?

(Ikumbukwe, Hiramu aliishi miaka 1011 BC)
Kitu ambacho watu wengi hawajui, Hiram anae tajwa hapo ndo mjenzi ambaye freemasonry imejengwa kutoka kwake, na ni huyu Hiram ambaye alikuwa mjenzi mkuu wa nabii suleiman, na alikuja kuuwawa na wajenzi watatu waliokuwa chini yake waliokuwa wanataka awape password ambazo zilikuwa zinatumika kulipia mafundi waliokuwa wapo katika makundi matatu. Tukirudi kwenye hoja , huyu injinia mkuu alipewa kipawa kikubwa cha ujenzi na ni yeye ndo alijenga lile hekalu na vitu vyote, alikuwa hodari kiasi kwamba alipouliwa, nabii suleiman alimlilia mwezi mzima, tafuta kitabu the key to the lost symbol utaona zaidi.
 
Bado sijajua sababu iliyosababisha nikashindwa kukuelewa ........!!!!!!!

Sababu iliyosababisha ushindwe kumwelewa ni kwasababu ya sababu za kiundani za sababu ya stori yenyewe :heh:
 
Wana majina mengi kulingana na jamii walioishukia

Mfano kwa sumerians wanaitwa Anunaki,kwa babylonians wanaitwa nephilims, kwa jamii ya Enoch wanaitwa "watchers"

Hawa ni viumbe ambao wanatoka sayari ya mbali wenye uwezo wa interstellar travel

mkuu milisoma article moja inasema musa nae kumbe alikua ellien bwana ha ha ha ha hadithi za anunaki tamu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom