Pi (3.14159...) Katika Biblia

Pi (3.14159...) Katika Biblia

Sentensi yako ya mwisho tu inamaliza kesi!! Uko sahihi kabisa, hao hawakuwa watumwa, ilikuwa garison iliyotumwa kwenda kumsaidia Farao Psammetichus (664 - 610 BCE) katika vita dhidi ya Wanubi, muda mrefu sana baada ya mapiramidi kujengwa, sasa hao watumwa walikuja lini misri na walijenga lini pyramids?!! FYI, zaidi ya kwenye Biblia, hakuna evidence yoyote inayoonesha kuwa kuliwahi kuwa na watumwa wa kiyahudi Misri! Hapo namba mbili unasema kuwa 1700BCE ndiyo Waebrania walianza kutengemana huko misri, wakati miaka hiyo tayari mapiramidi yalishajengwa, ni yapi tena waliyojenga wao?!!

Sasa wewe unapenda kumaliza unavyotaka wewe! Waisrael uliowataja (664-610 BC) hawakuwa watumwa lakini wale niliokutajia mimi wa 1700 (Waebrania-Hebrews) walikuwa watumwa na ndiyo waliojenga mapiramidi.
 
Sasa wewe unapenda kumaliza unavyotaka wewe! Waisrael uliowataja (664-610 BC) hawakuwa watumwa lakini wale niliokutajia mimi wa 1700 (Waebrania-Hebrews) walikuwa watumwa na ndiyo waliojenga mapiramidi.

Hahaha, siyo suala la kumaliza UNAVOTAKA, ni suala la evidence kaka. Wewe umefikiaje conclution ya kwamba watumwa (bado hakujagunduliwa evidence ya watumwa wa kiebrania huko misri) waliofika 1700 BCE (baada ya mapiramidi kujengwa) kwamba WAO NDIYO WALIJENGA?!!!! Things dond ad up, unaowasema walifika (kama kweli walifika) miaka ya 1700BCE, calendar inasoma mapiramidi yalikuwa yameshajengwa by then! Tumeshaona kuwa hawa jamaa walidocument vizuri kabisa kuwa waliojenga mapiramidi walikuwa wanakula vizuri, walilipwa ujira mzuri, kwa vyovyote vile kama wangekuwa watumwa kwa hakika wasingetendewa wema wote huo. Pia mapiramidi hayajatajwa popote katika biblia, kwa jinsi yalivyo alama kubwa ya ujuzi wa binadamu kwa hakika kama wangejenga hao watumwa tungeiona somewhere kwenye bible (at least)!
 
Hahaha, siyo suala la kumaliza UNAVOTAKA, ni suala la evidence kaka. Wewe umefikiaje conclution ya kwamba watumwa (bado hakujagunduliwa evidence ya watumwa wa kiebrania huko misri) waliofika 1700 BCE (baada ya mapiramidi kujengwa) kwamba WAO NDIYO WALIJENGA?!!!! Things dond ad up, unaowasema walifika (kama kweli walifika) miaka ya 1700BCE, calendar inasoma mapiramidi yalikuwa yameshajengwa by then! Tumeshaona kuwa hawa jamaa walidocument vizuri kabisa kuwa waliojenga mapiramidi walikuwa wanakula vizuri, walilipwa ujira mzuri, kwa vyovyote vile kama wangekuwa watumwa kwa hakika wasingetendewa wema wote huo. Pia mapiramidi hayajatajwa popote katika biblia, kwa jinsi yalivyo alama kubwa ya ujuzi wa binadamu kwa hakika kama wangejenga hao watumwa tungeiona somewhere kwenye bible (at least)!

Jamaa amekariri, amekuwa brainwashed na wayahudi na "utaifa teule"

Na kuna new evidence zime come up kuwa pyramids zimetengenzwa kwa msaada wa "otherworldly beings"
 
Hi everyone!

Katika kitabu cha Wafalme (1Fal 7:23-26), tunasoma kuwa Mfalme Sulemani aliagiza mtu mmoja aitwaye Hiramu kutoka Tiro, kutengeneza beseni(?) kubwa la maji (mfano wa mcheduara) kwa ajili ya kupamba Hekalu Jipya.

Ni wazi kuwa ili utengeneze chombo chenye umbo la mcheduara (cylindrical shaped object) itakulazimu angalau ujue matumizi ya Pi!

Ebu tuangalie vipimo alivyotumia huyu Hiramu mtu mwenye hekima na akili aliyetengeneza beseni(?) kubwa la shaba.

Kipenyo = mikono 10 (180 cubits), urefu kwenda juu = mikono 5 (90 cubits), Pi = 3.14159..., mzingo (circumference)?

Mzingo = Pi*kipenyo au 2*Pi*nusu kipenyo.
= 3.14159*10 = 31.4159 (appr. 30)

"Tena akafanya bahari ..., na uzi wa mikono therathini kuizunguka kabisa". Rejea 1Fal 7:23-26.

Swali la kujiuliza: hivi huyu Hiramu alijuaje kuwa ni lazima kutumia Pi enzi zile za zamani kabla ya sayansi na maarifa havijashika kasi kubwa?

(Ikumbukwe, Hiramu aliishi miaka 1011 BC)

Mkuu unajua kama definition ya pi kwa kiingereza ni kama ifuatavyo: 'pi is the ratio of the circumference of any circle to the diameter of that circle', kwa hiyo endapo utapewa kipimo kimoja tu ama mzunguko au kipenyo ili mradi umbo hilo ni duara basi lazima ukichukua mzunguko gawanya kwa kipenyo lazima jibu lake likaribie pi, na hii pi ilikuwa established baada ya ratio kati ya mzunguko na kipenyo ya duara lolote kuwa inaleta namba ya aina moja ndo maana wakaamua iwe constant na ikapewa jina hilo.

Kwa kifupi ni kwamba pi ni zao la maduara na sio kwamba maduara ni mazao ya pi, maduara yamekuwepo kabla ya pi kuwa established na ndo maana unaweza kuyapata katika maisha ya kawaida kabisa kwa watu ambao pengine hawajui chochote kuhusu hesabu , mfano vitako vya nyumba ya misonge, mazizi ya ng'ombe.
 
Sasa wewe unapenda kumaliza unavyotaka wewe! Waisrael uliowataja (664-610 BC) hawakuwa watumwa lakini wale niliokutajia mimi wa 1700 (Waebrania-Hebrews) walikuwa watumwa na ndiyo waliojenga mapiramidi.

Suppose he agrees that waebrania were responsible. How long did they stay in Egypt as slaves? If I am not mistaken 400 years. How long did the ancient Egyptian civilization last? If I am not mistaken thousands of years. Right there your argument is falled apart.
 
Hahaha, siyo suala la kumaliza UNAVOTAKA, ni suala la evidence kaka. Wewe umefikiaje conclution ya kwamba watumwa (bado hakujagunduliwa evidence ya watumwa wa kiebrania huko misri) waliofika 1700 BCE (baada ya mapiramidi kujengwa) kwamba WAO NDIYO WALIJENGA?!!!! Things dond ad up, unaowasema walifika (kama kweli walifika) miaka ya 1700BCE, calendar inasoma mapiramidi yalikuwa yameshajengwa by then! Tumeshaona kuwa hawa jamaa walidocument vizuri kabisa kuwa waliojenga mapiramidi walikuwa wanakula vizuri, walilipwa ujira mzuri, kwa vyovyote vile kama wangekuwa watumwa kwa hakika wasingetendewa wema wote huo. Pia mapiramidi hayajatajwa popote katika biblia, kwa jinsi yalivyo alama kubwa ya ujuzi wa binadamu kwa hakika kama wangejenga hao watumwa tungeiona somewhere kwenye bible (at least)!

Hata kama walikuwa ni wayahudi. Idadi ya wayahudi walihamia Misri ilikuwa ni ndogo sana. Watoto 12 wa kiume jacob na dada zao na wajukuu. Hili waongezeke ilibidi waoane na Egyptians. Hivyo katika kipindi cha miaka 400, walikuwa typical Egyptians.
 
Hahaha, siyo suala la kumaliza UNAVOTAKA, ni suala la evidence kaka. Wewe umefikiaje conclution ya kwamba watumwa (bado hakujagunduliwa evidence ya watumwa wa kiebrania huko misri) waliofika 1700 BCE (baada ya mapiramidi kujengwa) kwamba WAO NDIYO WALIJENGA?!!!! Things dond ad up, unaowasema walifika (kama kweli walifika) miaka ya 1700BCE, calendar inasoma mapiramidi yalikuwa yameshajengwa by then! Tumeshaona kuwa hawa jamaa walidocument vizuri kabisa kuwa waliojenga mapiramidi walikuwa wanakula vizuri, walilipwa ujira mzuri, kwa vyovyote vile kama wangekuwa watumwa kwa hakika wasingetendewa wema wote huo. Pia mapiramidi hayajatajwa popote katika biblia, kwa jinsi yalivyo alama kubwa ya ujuzi wa binadamu kwa hakika kama wangejenga hao watumwa tungeiona somewhere kwenye bible (at least)!

Wewe unasoma tafiti zilizofanywa karne kadhaa wakati wa kipindi cha AD. Mimi nasoma maandiko tangu uumbaji, na katika maandiko tulishakubaliana kuwa watu huangaziwa na Roho Mtakatifu.

Pili WaIsrael unaowataja wewe hawakuwahi kuwa watumwa, ninaowataja mimi (Hebrews) waliteswa na Wamisri. Kipindi cha Waisrael wako ni cha karibuni zaidi ya kipindi cha Waebrania wangu. Na kipindi cha waebrania wangu kinaangukia miaka ya 1700 BC na mapiramid yalijengwa katka kipindi cha 2600-1700 BC.

Sikuelewi tunabishania nini!!!
 
mkuu unajua kama definition ya pi kwa kiingereza ni kama ifuatavyo: 'pi is the ratio of the circumference of any circle to the diameter of that circle', kwa hiyo endapo utapewa kipimo kimoja tu ama mzunguko au kipenyo ili mradi umbo hilo ni duara basi lazima ukichukua mzunguko gawanya kwa kipenyo lazima jibu lake likaribie pi, na hii pi ilikuwa established baada ya ratio kati ya mzunguko na kipenyo ya duara lolote kuwa inaleta namba ya aina moja ndo maana wakaamua iwe constant na ikapewa jina hilo.

Kwa kifupi ni kwamba pi ni zao la maduara na sio kwamba maduara ni mazao ya pi, maduara yamekuwepo kabla ya pi kuwa established na ndo maana unaweza kuyapata katika maisha ya kawaida kabisa kwa watu ambao pengine hawajui chochote kuhusu hesabu , mfano vitako vya nyumba ya misonge, mazizi ya ng'ombe.

umemaliza!!!! Watu wanakanyagana kuzunguka jibu,wakati hata mama lishe anatengeneza chapati ya duara bila kuhangaika na pi.
 
Suppose he agrees that waebrania were responsible. How long did they stay in Egypt as slaves? If I am not mistaken 400 years. How long did the ancient Egyptian civilization last? If I am not mistaken thousands of years. Right there your argument is falled apart.

Sasa wewe argument yako ni kuwa waisrael wanatakiwa wawe walikuwepo Misri wakati wote wa Egyptian Civilization! Don't you see the defect in your argument? Umekwishambiwa kuwa Mungu aliwaondoa kwa mkono wa Musa! Na siyo miaka yote 400 waliyokaa Misri walikuwa watumwa, Yusuph alianzia kwa kuwa Mkuu katika nyumba ya Pharao kwa miaka kadhaa na WaIsrael walipohamia huko kukimbia njaa kwao walikuwa watu maarufu na wakijidai ndani ya Misri. Baadaye WaMisri walipochoka wageni kuwakalia juu ndipo wakaanza njama za kuwahujumu. Ni katika kupinga hujuma hizo ndipo Musa aliua Mmisri na akakimbia.

Read all that and you will not get mixed up by time frames of the size we are using currently. Time frame ya 2600-1700 BC is so big you cannot use it to make reference to an event. Huwezi kufigure out hata events na generations za watu ngapi zilipita hapo.
 
Wewe unasoma tafiti zilizofanywa karne kadhaa wakati wa kipindi cha AD. Mimi nasoma maandiko tangu uumbaji, na katika maandiko tulishakubaliana kuwa watu huangaziwa na Roho Mtakatifu.

Pili WaIsrael unaowataja wewe hawakuwahi kuwa watumwa, ninaowataja mimi (Hebrews) waliteswa na Wamisri. Kipindi cha Waisrael wako ni cha karibuni zaidi ya kipindi cha Waebrania wangu. Na kipindi cha waebrania wangu kinaangukia miaka ya 1700 BC na mapiramid yalijengwa katka kipindi cha 2600-1700 BC.

Sikuelewi tunabishania nini!!!

Hatubishani kaka, tunajadiliana. Hebu ongea kwa proof basi, maana hata biblia unayotumia haijasema walijenga pyramid, WEWE UMEITOA WAPI? Tuanzie hapo ili nione kama kweli kuna mjadala hapa au ushabiki.
 
Mkuu ufafanuzi kidogo katika hilo.. ndio kina nani hao...

Wana majina mengi kulingana na jamii walioishukia

Mfano kwa sumerians wanaitwa Anunaki,kwa babylonians wanaitwa nephilims, kwa jamii ya Enoch wanaitwa "watchers"

Hawa ni viumbe ambao wanatoka sayari ya mbali wenye uwezo wa interstellar travel
 
Hatubishani kaka, tunajadiliana. Hebu ongea kwa proof basi, maana hata biblia unayotumia haijasema walijenga pyramid, WEWE UMEITOA WAPI? Tuanzie hapo ili nione kama kweli kuna mjadala hapa au ushabiki.

Tatizo wewe unasoma Biblia iliyoandikwa na The Gideons labda ndiyo sababu haina data nilizonazo mimi. Kama wewe unavyopata data zako amini na mimi ninapata zangu, sina sababu ya kukubishia kama sina alternative data. After all mtandao umejaa wasioamini kama kweli waIsrael walikaa utumwani Misri. You will not be the first one. Na kama unaamini hivyo basi historia ya Musa kuwa aliwaokoa wana wa Israel na Fimbo basi ni feki pia. Chagua lipi ulitakalo na uendelee nalo.
 
Tatizo wewe unasoma Biblia iliyoandikwa na The Gideons labda ndiyo sababu haina data nilizonazo mimi. Kama wewe unavyopata data zako amini na mimi ninapata zangu, sina sababu ya kukubishia kama sina alternative data. After all mtandao umejaa wasioamini kama kweli waIsrael walikaa utumwani Misri. You will not be the first one. Na kama unaamini hivyo basi historia ya Musa kuwa aliwaokoa wana wa Israel na Fimbo basi ni feki pia. Chagua lipi ulitakalo na uendelee nalo.

Tufanye waIsrael walikaa utumwani Misri, how does that prove they built the pyramids? Hebu weka mistari ya biblia unayosoma wewe ambayo inaonesha watumwa wa kiIsraeli walijenga pyramids. Kuwa sehemu flani wakati jambo fulani linafanyika haimaanishi kwamba na wewe ulishiriki katika kutekeleza jambo hilo.
 
Tufanye waIsrael walikaa utumwani Misri, how does that prove they built the pyramids? Hebu weka mistari ya biblia unayosoma wewe ambayo inaonesha watumwa wa kiIsraeli walijenga pyramids. Kuwa sehemu flani wakati jambo fulani linafanyika haimaanishi kwamba na wewe ulishiriki katika kutekeleza jambo hilo.

Well, I believe only legal proceedings take such a line of argument. Now, let us agree that Israelites were enslaved in Egypt at the time pyramids were built. Building a pyramid is no mean fit and can be described only as taxing process. Sasa wewe nadhani ndiyo una wajibu wa kuthibitisha kuwa siyo Waisraeli waliojenda mapiramidi.

Iweje raia wa kawaida wafanyishwe kazi ya kitumwa namna hiyo wakati watumwa wapo? QED
 
Wana majina mengi kulingana na jamii walioishukia

Mfano kwa sumerians wanaitwa Anunaki,kwa babylonians wanaitwa nephilims, kwa jamii ya Enoch wanaitwa "watchers"

Hawa ni viumbe ambao wanatoka sayari ya mbali wenye uwezo wa interstellar travel

Mmmh ndio umenitoa kabisa mchezoni...mkuu ilikuaje sasa...hivi kumbe kuna viumbe wengine nje ya dunia...hii kubwa sasa...
Mkuu samahani naomba maelezo zaidi I am little bit interested kwenye hii story
 
Well, I believe only legal proceedings take such a line of argument. Now, let us agree that Israelites were enslaved in Egypt at the time pyramids were built. Building a pyramid is no mean fit and can be described only as taxing process. Sasa wewe nadhani ndiyo una wajibu wa kuthibitisha kuwa siyo Waisraeli waliojenda mapiramidi.

Iweje raia wa kawaida wafanyishwe kazi ya kitumwa namna hiyo wakati watumwa wapo? QED

Kumbe tulichokuwa tukijadili huko nyuma yote yalikuwa yanaingilia sikio moja yanatokea la pili?
Kama hata ushahidi wa maiti za wajenzi wa pyramids hauuonei umuhimu umeng'ang'ana na stori za hewani sidhani kama kuna cha zaidi kujadili hapa.
Haya, nenda kasome Story ya Herodotus.
 
Sasa wewe argument yako ni kuwa waisrael wanatakiwa wawe walikuwepo Misri wakati wote wa Egyptian Civilization! Don't you see the defect in your argument? Umekwishambiwa kuwa Mungu aliwaondoa kwa mkono wa Musa! Na siyo miaka yote 400 waliyokaa Misri walikuwa watumwa, Yusuph alianzia kwa kuwa Mkuu katika nyumba ya Pharao kwa miaka kadhaa na WaIsrael walipohamia huko kukimbia njaa kwao walikuwa watu maarufu na wakijidai ndani ya Misri. Baadaye WaMisri walipochoka wageni kuwakalia juu ndipo wakaanza njama za kuwahujumu. Ni katika kupinga hujuma hizo ndipo Musa aliua Mmisri na akakimbia.

Read all that and you will not get mixed up by time frames of the size we are using currently. Time frame ya 2600-1700 BC is so big you cannot use it to make reference to an event. Huwezi kufigure out hata events na generations za watu ngapi zilipita hapo.

Yes the time frame you mentioned above is so big. But the ancient egyptians left the accounts of their history in written form. In some places they left the names of supervisors, engineers, and workers. Besides, the use of modern technology and the artifacts helps humanity reconstruct the past.
 
Kumbe tulichokuwa tukijadili huko nyuma yote yalikuwa yanaingilia sikio moja yanatokea la pili?
Kama hata ushahidi wa maiti za wajenzi wa pyramids hauuonei umuhimu umeng'ang'ana na stori za hewani sidhani kama kuna cha zaidi kujadili hapa.
Haya, nenda kasome Story ya Herodotus.

Wewe ile methali ya "Nyani haoni kundule" inakufaa sana. Inasema hivi: Siku moja midume miwili ya nyani ilikuwa itangulizana. Ghafla lilokuwa nyuma likashtuka kuona lile la mbele lina rangi ya blue kwenye makalio. Likaanza kucheka mpaka karibia kuzirai. Lile lililokuwa mbele likauliza kuna nini cha kufurahisha namna hiyo? La nyuma ndiyo likazidi kuwa halijiwezi kwa kucheka, hivyo likawa linaonyesha kwa kidole tu makalio ya mwenziwe huku likifa kwa kucheka.

Nashangaa kuunguliwa kutoa ushahidi kusupport data zangu wakati wewe pia umenipa data za WaIsrael wa karne (664-610 BC) bila anything you can call evidence, mimi unataka nikupe evidence. Wazungu walisema " That is bullshit" kwa sababu kama ni data zako ni za kusoma katika vitabu au mitandao na mimi pia nasoma katika vitabu na mitandao. Iweje niitwe mimi mwongo kwa sababu tu kitabu ulichosoma wewe kinatofautiana na nilichosoma mimi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom