Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Good boyKwa rukhsa yako naendelea kuamini...
Good boyKwa rukhsa yako naendelea kuamini...
Good girl!Good boy
Mkuu Hiyo Ni Idea Nzuri ila sasa Hivi Nafanya Civil Engineering!Heshima kwako mkubwa, kama ulizimaliza A zote kwa kweli NAKUHESHIMU SANA SANA SANA SANA
iLA KWANINI hUJAWA MWALIMU WA PHYSISC UISHI NDOTO ZAKO?
Mi ni mwlm mwandamizi.acha kudanganya watu.physics ni ngumu.sio sawa na civics au history
Kwa sisi tuliosoma PCB advanced Physics ndio somo rahisi na huwa hatulipi kipaumbele...
vipi mkuu na we ni hater???Ukichukia jambo lazima ulifanyie vibwanga kama hivi
vipi mkuu na we ni hater???Ukichukia jambo lazima ulifanyie vibwanga kama hivi
Mi ni zaidi ya hater wa hilo somo maana marks kubwa nilio wahi kupata ni 45%nililikimbia mapema sana kidato cha pili
Kweli kabisa! Hata mini najua hivyo. Hakuna somo gumu wala somo rahisi, ila mhusika anaweza kulifanya likawa gumu au rahisi.Hakuna somo gumu wakuu kama ukikaa na ukasilikiliza walimu kwa makini. Tatizo watu wengi hua tunasoma Physics huku tukiwa tumepanic na wasiwasi kwa sababu ya stori tunazoambiwa na watu waliotangulia
Asante kwa taarifaKwa sisi tuliosoma PCB advanced Physics ndio somo rahisi na huwa hatulipi kipaumbele...

Physics ni sawa Na CIVICS?Physics ukielewa haina shida ndio maana mwalimu anachangia sana kupenda au kutopenda somo kwa sababu ya methodology anazotumia