photoshop tutorial: tutengeneze bling bling 3d text effect

Astro we mkali unajifunza haraka
 
Last edited by a moderator:
yaani nimeangalia had nikaona nifumbe jicho moja, nikaangalia na moja tu, halioni, nikafinya yote, nikaigeuza laptop yangu chini juu, kushoto na kulia bado sielewi tu

1st. naomba hiyo adobe photoshop nidownload, kwa kuwa sina
2nd. ntarudi tena , hili darasa zuri sana
 
software loading...
 

nenda piratebay ukaisearch au google ukiipata ina MB kama 300 ambayo ni cracked so itabidi iwe na speed sana machine yako..
 
BBC na jamiif hahahaaa mmeona mauza uza enheeeee?
 
Last edited by a moderator:
C6 ahsante yani hizi tutorial zako unaelezea vizuri sana ndio maana naweza kuzielewa haraka
 
Step nilizofuata ni hizi hapa
1. Fungua new document na ipe background nyeusi and type text yoyote unayotaka. (font ni Hobo Std and size weka yoyote inayofaa)

2.Bonyeza CTRL+ALT+SHIFT+E ili uweze to combine layers zako (TEXT and Background) and kuziweka kama new layer juu ya hizi mbili ulizo nazo. (You should have something similar to this...)

3.Nenda Edit > Transform > Rotate 90CCW...text yako itaonekana hivi...

4.Nenda kwenye Filter > Stylize > Wind and Wind, Direction: From the Right.(Rudia kama mara tatu) upate effect kama hii

5.Rotate picha yako kama ilivyokuwa mwanzo and nenda Filter > Blur > Gaussian Blur weka Radius 5.0 px. upate huu muonekano

6.Nenda Image > Adjustment > Hue/Saturation chagua Colorize weka Hue=35 na Saturation=90. yep tunakaribia.
7.Duplicate hii layer and nenda tena kwenye adjustments iwekee Hue=-35 and nenda kwenye blending Options iwekee COLOR DODGE
Punguza fill opacity mpaka arround 27%
8. Merge hizi layer mbili (zenye hii effect kama ya moto) Simply select layer ya juu kabisa and right click and select (MERGE DOWN)
Chagua Filter > Liquify and chagua Warp tool,weka brush size kwenye arroudn 37 na brush pressure kwenye kama 45
anza kuclick ndani ya text [kuanzia juu kidogo (top half) kumbuka unatumia smudge tool] and while umeclick elekea juu ukitoka nje ya text,
9.Unaweza ukarudia kama haikuridhishi ila punguza kidogo brush pressure unaporudia usije uka deform text yote kabisa.

10. Sasa tunaileta ile text yetu juu ya layer zote ili iwe visible and tutabadilisha color yake kuwa nyeusi ili ionekane vizuri.

11. Sasa kilichobaki ni kurastarize hiyo layer yetu then tutakwenda kwenye eraser tool na kuchagua soft brush (size weka kama 160-170 depending na text yako) futa kidogo upande wa juu ufike kama hapa

I hope tutakuwa tumefika hapa bila tatizo.
 
Last edited by a moderator:
huz, comp yangu ilibadilishwa ikawekwa mpya. sa hii mpya haina hyo programe. niletee basi kwny external.
 
Nilidhani peke yangu............................
kila mtu na kipaji chake, mi ntakuwa nawalipa wanifanyie hizo photoshop. Nimekubali siwezi kuwa mtaalamu wa kila kitu!
Mi nadhani tujutahidi kuwa wataalam wa kutumia miili na viungo vya miili yetu. Unasemaje mkwe?
 
Mi nadhani tujutahidi kuwa wataalam wa kutumia miili na viungo vya miili yetu. Unasemaje mkwe?
huko nina uhakika ni mtaalamu kabisaaaaaaaaaaaaaa, yaani sihitaji brush tena Mkwe
 
cs5 zipo toleo nyingizaidi ya moja)...na 3d effect ipo kuanzia cs5 extended vs....sijakariri ki2,,,sababu mambo haya nayajua vizuri sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…