JamiiForums JF Official Account Nov 9, 2006 6,221 5,139 Oct 31, 2010 #1 Magomeni Mzimuni, police post, mzozo wa mtu ambaye picha yake haipo wanataka apige kura bila picha mawakala wamegoma
Magomeni Mzimuni, police post, mzozo wa mtu ambaye picha yake haipo wanataka apige kura bila picha mawakala wamegoma
JamiiForums JF Official Account Nov 9, 2006 6,221 5,139 Oct 31, 2010 Thread starter #4 Upigaji Kura Tanzania 2010
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,199 8,744 Oct 31, 2010 #5 Hizi ndo zile zilizoripotiwa na jamiiforums kuwa kuna namba feki kwenye mtandao wa NEC
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,357 Oct 31, 2010 #6 Ulinzi uwe mkubwa tafadhali, CCM wanataka kuchakachua
Juaangavu JF-Expert Member Nov 3, 2009 935 132 Oct 31, 2010 #7 Watanzania wameamka hivi sasa, hawataki mambo ya upuuzi puuzi.
Gaijin JF-Expert Member Aug 21, 2007 11,812 5,292 Oct 31, 2010 #8 mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anasema mtu ambae taarifa zake zinafanana sawa sawa na za kwenye daftari lakini picha haipo, aruhusiwe kupiga kura na anasema wananchi wanaruhusiwa kujua matokeo ya uchaguzi hawaruhusiwi kutangaza tu hiyo ni kazi ya NEC
mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anasema mtu ambae taarifa zake zinafanana sawa sawa na za kwenye daftari lakini picha haipo, aruhusiwe kupiga kura na anasema wananchi wanaruhusiwa kujua matokeo ya uchaguzi hawaruhusiwi kutangaza tu hiyo ni kazi ya NEC
Ally Msangi JF-Expert Member Jun 29, 2010 608 120 Oct 31, 2010 #9 watu wameamka sana kipindi hiki...!!
JamiiForums JF Official Account Nov 9, 2006 6,221 5,139 Oct 31, 2010 Thread starter #10 Kituoni Mlimani C
JamiiForums JF Official Account Nov 9, 2006 6,221 5,139 Oct 31, 2010 Thread starter #11 Chuo Kikuu Kituo Cha Mlimani
JamiiForums JF Official Account Nov 9, 2006 6,221 5,139 Oct 31, 2010 Thread starter #12 Chuo Kikuu Kituo cha Mlimani Primary School