Wale wanaokimbiaga sherehe za kuapishwa Rais just because wameshindwa uchaguzi, wajifunze toka kwa wenzetu wamarekani...
Na rais wako nae ajifunze kutoka marekani kuwa mvumilivu wa kisiasa, asiibe.kura na kutumia dola vibaya.
Wingi huo unatokana na ushindi wake kuwa halali bila mizengwe ya wizi au vitisho vya Shimbo wa US.Wale wanaokimbiaga sherehe za kuapishwa Rais just because wameshindwa uchaguzi, wajifunze toka kwa wenzetu wamarekani...
Jamani tuwe wakweli Mtoni ni raha tupu.
Biden kaapa na encyclopedia au nini.