Kma umeifuta huko ndio basi. Umeishaifuta kutoka kwenye server zao. Kma email client yako ina Bin/Trash angalia humo unaweza ikutaNiende moja kwa moja,naombeni ujuzi wa kurudisha picha ambazo nimezifuta kutok kwenye E mail angu
kama kuna app inaweza fanya hivyo mnisaidie ni ipi