Napenda sana haya mavitu alafu iwe display imetengeneza Edge kidogo kama Sumamaung Note 8 alafu Display Super Molded ukisoma kama PDF linaoneka kama karatasi lakawaidafull size ndo yenyewe na iwe na camere mbili zwe upande wa kulia kama oppo reno 4 lite
Walengwa ni wale ambao wako obsessed na vitu vipya, kila design mpya mjini anaitaka hata kama alichonacho kinafanya kazi sawa na hiko kipyaIla kwa kweli kutoa simu nyingi kiasi hicho ni kuchanganya watu tu
Ivi tofauti ni nini haswa