notmalick
Member
- Aug 20, 2014
- 71
- 99
Mi nashindwa kuwaclassify watu kama hao, ila poa tu haina shida, mi huwa nafanya things which are within my personal interests. Sipendagi kukata tamaa kirahisi, by the way kunaprojects nyingi nimefanya ikiwemo hata hiyo ya kugenerate passwords tena katika range anayotaka user mwenyewe.
Na YES! We need to work as community, so guys naomba tuendelee kuidevelop hiyo app, hopefully kama ulivosema kaka, itakuja kuwa very awesome baadae!
Thank you fellow members!
Kazi nzuri unaweza kaa chini ukaitengenezea ka project flan ka kupiga hela kama bahati nasibu. Mfano ile zamaniii ya pepsi unakuta namba katika kisoda then jioni kwenye tv zinatajwa na zawadi zake. So hii pia unaweza set mfumo mtu akawa anaotea namba na kutuma buku then mwisho wa wiki unatangaza washindi. Yani hivi weka namba ya kampuni, chagua kiasi, weka namba ya simu, submit then unapata ka verification text flan yani kama risiti kwa ajili ya ku claim. Something like that. (biko, mbet) Just an idea.
Aisee ntumie hiyo program ya password sounds great...upload attachment hapa kama ulivotuma PNG.
Keep up the good work.
Hopefully tutafanya kazi one day.