Phone number generator (PNG) - by bl4ckbo7

hii sio project ni mchezo wa kitoto ambao hauna manufaa yoyote hizo ni random namba kwenye java unatumia code moja tu ya math.random() kupata hizo namba na una concatenate na code za mwanzo za mtandao hakuna kitu cha kipekee ushauri wangu focus kwenye serious projects.
 
hii sio project ni mchezo wa kitoto ambao hauna manufaa yoyote hizo ni random namba kwenye java unatumia code moja tu ya math.random() kupata hizo namba na una concatenate na code za mwanzo za mtandao hakuna kitu cha kipekee ushauri wangu focus kwenye serious projects.

Asante sana kwa ushauri wako kaka!

Ila nafikiri hizo ndo tofauti zetu. (wakati mimi naandika code yenye manufaa kwa watu wengine we unakaa ukitype kwamba ninafanya mchezo wa kitoto, sababu hujui faida yake wala mahali inapotumika.)

Na kauli uliyoisema ni kudanganya umma kwamba kwenye Java unaandika code moja tu eti "math.random() kupata hizo namba na una kuconcatenate na code za mwanzo za mtandao" kitu ambacho program hii huwezi ifanya kirahisi namna hiyo kwenye Java.

Jaribu kufikiri abstractly kaka!
 
Asante sana kwa ushauri wako kaka!

Ila nafikiri hizo ndo tofauti zetu. (wakati mimi naandika code yenye manufaa kwa watu wengine we unakaa ukitype kwamba ninafanya mchezo wa kitoto, sababu hujui faida yake wala mahali inapotumika.)

Na kauli uliyoisema ni kudanganya umma kwamba kwenye Java unaandika code moja tu eti "math.random() kupata hizo namba na una kuconcatenate na code za mwanzo za mtandao" kitu ambacho program hii huwezi ifanya kirahisi namna hiyo kwenye Java.

Jaribu kufikiri abstractly kaka!
ngoja nitengenze mimi hiyo app kwa java uone kama inatofauti na yako nitakutumia jar file ukihitaji ni kitu kidogo ni kumuuliza tu user anahitaji namba ya mtandao upi apo natumia switch case akinipia na generate kwa math.random() kwa urefu wa string ninayotaka mwisho naunganisha na area code na code ya mtandao naweza rudia mara nyingi kupata namba tofauti. hongera kama programu yako itakuwa na manufaa ngoja niendelee kupitia ufafanuzi unaowapatia wengine usikasirike nikigundua umuhimu wake nitarudi tena hapa.
 
ngoja nitengenze mimi hiyo app kwa java uone kama inatofauti na yako nitakutumia jar file ukihitaji ni kitu kidogo ni kumuuliza tu user anahitaji namba ya mtandao upi apo natumia switch case akinipia na generate kwa math.random() kwa urefu wa string ninayotaka mwisho naunganisha na area code na code ya mtandao naweza rudia mara nyingi kupata namba tofauti. hongera kama programu yako itakuwa na manufaa ngoja niendelee kupitia ufafanuzi unaowapatia wengine usikasirike nikigundua umuhimu wake nitarudi tena hapa.

Hayo ndo maneno kaka, na ndivo programmer anapaswa awe, na sio kukashifu tu. Sijakasirika, bali ananitia huzuni mtu anayekashifu jambo bila yeye mwenyewe kufanya uchunguzi.

Asante kaka.

Karibu HackerHub | Forum Board
 
Hivi TISS wanafanya kazi gani kwenye masuala ya mawasiliano nchi hii?

Hongera mtoa mada
 
Naona thread imevamiwa na watu ambao hata hawayajui haya mambo... we unaponda ati program ya nini, Basi tumia bichwa lako ukiona waweza generate namba kibao in less time na kushika kalamu kuanza kuandika namba moja moja then upeleke stationary wakuchapie sisi tuendelee kuwa wa kidijitaly kwa kufanya mambo chap chap.

Hii program binafsi mbeleni itanisaidia kutangaza biashara zangu mitandaoni, Najua kuna watu wengi sana wamejiunga facebook kwa namba za simu so ntachokuwa nafanya nagenerate namba kwa hii software then naziimport facebook katika mfumo wa csv then ntainvite hizo contacts na wakinikubalia urafiki nikiwa na fan page ntatangaza blogs ama youtube links ambazo zipo connected na adsense ili nipige mpunga, By the way hio program haina utofauti sana na zile wanazochezeshea bahati nasibu za kupata mshindi kwenye droo za mashindano ya mitandao ya simu..

GUYS THINK OUT OF THE BOX, SIO MNAVAMIA TU VITU AMBAVYO HAMVIJUI ALAFU BADO MNAJIFANYA WAJUAJI
 
Naona thread imevamiwa na watu ambao hata hawayajui haya mambo... we unaponda ati program ya nini, Basi tumia bichwa lako ukiona waweza generate namba kibao in less time na kushika kalamu kuanza kuandika namba moja moja then upeleke stationary wakuchapie sisi tuendelee kuwa wa kidijitaly kwa kufanya mambo chap chap.

Hii program binafsi mbeleni itanisaidia kutangaza biashara zangu mitandaoni, Najua kuna watu wengi sana wamejiunga facebook kwa namba za simu so ntachokuwa nafanya nagenerate namba kwa hii software then naziimport facebook katika mfumo wa csv then ntainvite hizo contacts na wakinikubalia urafiki nikiwa na fan page ntatangaza blogs ama youtube links ambazo zipo connected na adsense ili nipige mpunga, By the way hio program haina utofauti sana na zile wanazochezeshea bahati nasibu za kupata mshindi kwenye droo za mashindano ya mitandao ya simu..

GUYS THINK OUT OF THE BOX, SIO MNAVAMIA TU VITU AMBAVYO HAMVIJUI ALAFU BADO MNAJIFANYA WAJUAJI

Daah! Kaka we acha tu, na ndio maana wahenga walisema kwamba usilolijua ni sawa na usiku wa giza! Mi ntaendelea kutoa tu elimu, sina tatizo na mtu atakayeiponda na kukosoa kazi yangu maana naelewa kwamba wao ni part ya Ecosystem itakayonifanya niendelee kufikiria ideas kubwa zaidi na kusonga mbele.

Pamoja sana JF Geeks! Karibuni HackerHub | Forum Board tuendelee kusukuma gurudumu hili la maendeleo ya sayansi na teknolojia hapa nchini kwetu Tanzania!
 
Daah! Kaka we acha tu, na ndio maana wahenga walisema kwamba usilolijua ni sawa na usiku wa giza! Mi ntaendelea kutoa tu elimu, sina tatizo na mtu atakayeiponda na kukosoa kazi yangu maana naelewa kwamba wao ni part ya Ecosystem itakayonifanya niendelee kufikiria ideas kubwa zaidi na kusonga mbele.

Pamoja sana JF Geeks! Karibuni HackerHub | Forum Board tuendelee kusukuma gurudumu hili la maendeleo ya sayansi na teknolojia hapa nchini kwetu Tanzania!
kuna mtu amegusia kuhusu social account attack,kanigusa hapa, either kwa dictionary/brute-forcing attack using 'crunching',kitambo nilikua na deal na izi issue kwenye kali linux issue zote za passwd generation na network sniffing/spoofing hii app yako ipo bomba kamanda...ikuze zaidi tuwe na crunch zetu tz mkuu
Big the heck UP
 
Naona thread imevamiwa na watu ambao hata hawayajui haya mambo... we unaponda ati program ya nini, Basi tumia bichwa lako ukiona waweza generate namba kibao in less time na kushika kalamu kuanza kuandika namba moja moja then upeleke stationary wakuchapie sisi tuendelee kuwa wa kidijitaly kwa kufanya mambo chap chap.

Hii program binafsi mbeleni itanisaidia kutangaza biashara zangu mitandaoni, Najua kuna watu wengi sana wamejiunga facebook kwa namba za simu so ntachokuwa nafanya nagenerate namba kwa hii software then naziimport facebook katika mfumo wa csv then ntainvite hizo contacts na wakinikubalia urafiki nikiwa na fan page ntatangaza blogs ama youtube links ambazo zipo connected na adsense ili nipige mpunga, By the way hio program haina utofauti sana na zile wanazochezeshea bahati nasibu za kupata mshindi kwenye droo za mashindano ya mitandao ya simu..

GUYS THINK OUT OF THE BOX, SIO MNAVAMIA TU VITU AMBAVYO HAMVIJUI ALAFU BADO MNAJIFANYA WAJUAJI
Hiki ndicho alicho paswa kutuelemisha huyu bwana kwenye baadh ya maswali aloulizwa
 
kuna mtu amegusia kuhusu social account attack,kanigusa hapa, either kwa dictionary/brute-forcing attack using 'crunching',kitambo nilikua na deal na izi issue kwenye kali linux issue zote za passwd generation na network sniffing/spoofing hii app yako ipo bomba kamanda...ikuze zaidi tuwe na crunch zetu tz mkuu
Big the heck UP

Asante kaka! Karibu sana HackerHub | Forum Board
 
Wako busy na chadema! Wamelala fofofo...hata websites za wizara za serikali tu zimewashinda!!
hahaa licha ya hivo site zao wenyewe zinamadhaifu mengii sana... inawezekana wadukuzi waka yaexploit madhaifu hayo...
 
Back
Top Bottom