Philosophy is a disease for both theists and atheists

Philosophy is a disease for both theists and atheists

Sina uhakika unaelewa ulichoandika,
Philosophy hata zen Buddhism ni philosophy ndio maana kun miongozo yake.
Kama unaongelea branch ya logical philosophy inayo husika na rational reasoning ambayo inatumika pia na wanayasansi.
Au unaongelea philosophy za Jiddu Krishnamurti aliyeandika vitabu kama free from the known.
Kila kila kitu ni philosophy
Huyu jamaa anayeponda falsafa huku yeye mwenyewe anaitumia hata kwenye kuiponda hajui anachoandika.

Halafu naona hayo mambo ya esoteric mumbo jumbo ndiyo kama anayajua leo.

Mimi ninesoma Buddhist philosophy na meditation tangu last century nimekutana nayo hayo mambo anayoyasema miaka ya 1990s.

Buddhists wamezama sana katika hayo mambo ya emptying your mind and all kinds of esoteric philosophies.

Ndiyo maana nikimuona anajichanganya hapa, kuponda falsafa, wakati anatumia falsafa hata kuponda falsafa, namuona yuko at least 25 years nyuma yangu.
 
Huyu jamaa anayeponda falsafa huku yeye mwenyewe anaitumia hata kwenye kuiponda hajui anachoandika.

Halafu naona hayo mambo ya esoteric mumbo jumbo ndiyo kama anayajua leo.

Mimi ninesoma Buddhist philosophy na meditation tangu last century nimekutana nayo hayo mambo anayoyasema miaka ya 1990s.

Buddhists wamezama sana katika hayo mambo ya emptying your mind and all kinds of esoteric philosophies.

Ndiyo maana nikimuona anajichanganya hapa, kuponda falsafa, wakati anatumia falsafa hata kuponda falsafa, namuona yuko at least 25 years nyuma yangu.
Hoja ni philosophy haiwezi ku understand nothingness, its mystical and illogical,sijaipinga wala kuiponda nimesema uwezo huo haina ndo maana down the ages mnashinda ku argue
 
Huyu jamaa anayeponda falsafa huku yeye mwenyewe anaitumia hata kwenye kuiponda hajui anachoandika.

Halafu naona hayo mambo ya esoteric mumbo jumbo ndiyo kama anayajua leo.

Mimi ninesoma Buddhist philosophy na meditation tangu last century nimekutana nayo hayo mambo anayoyasema miaka ya 1990s.

Buddhists wamezama sana katika hayo mambo ya emptying your mind and all kinds of esoteric philosophies.

Ndiyo maana nikimuona anajichanganya hapa, kuponda falsafa, wakati anatumia falsafa hata kuponda falsafa, namuona yuko at least 25 years nyuma yangu.
What am sharing is far beyond meditation and buddhism,philosophy and other religious and science fields

Its SATORI
 
Hoja ni philosophy haiwezi ku understand nothingness, its mystical and illogical,sijaipinga wala kuiponda nimesema uwezo huo haina ndo maana down the ages mnashinda ku argue
Nothingness haina cha kuelewa zaidi ya kwamba ni nothingness.

Na ukisema Mungu ni nothingness, umekubali Mungu hayupo.
 
What am sharing is far beyond meditation and buddhism,philosophy and other religious and science fields

Its SATORI
That is your philosophy and argument.

So if philosophy really is bullshit.

Satori is also bullshit.

Satori is a Japanese Buddhism term.
 
Nothingness haina cha kuelewa zaidi ya kwamba ni nothingness.

Na ukisema Mungu ni nothingness, umekubali Mungu hayupo.
Thats why nikasema too much knowledge makes you lesser intelligent,ukikumbuka jinsi unavyozaliwa unaona nini?
 
Thats why nikasema too much knowledge makes you lesser intelligent,ukikumbuka jinsi unavyozaliwa unaona nini?
What is too much knowledge?

Your heading does not even say "Too much philosophy is a disease".
 
Simjui maana hata nikimjua whats your point?
Mkuu unajua branch za philosophy zote au your referring logical philosophy kama ndio general philosophy.
Unapoongelea Mungu, dini or whatever unaongelea philosophy on the first place.
Ndio mana Mungu wa wakristo na waislamu ni tofauti kwa sababu wana different philosophy.
Gnostic wana argue Mungu wa agano la kale na jipya ni tofauti kwa sababubu ya utofauti ea philosophy zao.
 
That is your philosophy and argument.

So if philosophy really is bullshit.

Satori is also bullshit.

Satori is a Japanese Buddhism term.
Ndo maana nakuuliza according to whom?you or who
what am sharing is far beyond philosphy because philosophy dies on they way as i penetrate through the state of no-mind hence no philosophy acquired its a movement from logic to illogical,physical dimension to absolute

satori ni term ndiyo maana yake nini?
 
What is too much knowledge?

Your heading does not even say "Too much philosophy is a disease".
Too much knowledge means the more you accumulate and attain indoctrination the lesser the intelligent you become
 
Mkuu unajua branch za philosophy zote au your referring logical philosophy kama ndio general philosophy.
Unapoongelea Mungu, dini or whatever unaongelea philosophy on the first place.
Ndio mana Mungu wa wakristo na waislamu ni tofauti kwa sababu wana different philosophy
Philosophy is of Mind i share what is of no - Mind
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom