xungura
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 309
- 214
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Brazil , Philippe Coutinho amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Kibrazil ndani ya Bara la Ulaya kwa mwaka 2016.
Katika Kura hizo ambazo zimepigwa na mashabiki wa soka wa Kibrazil pamoja na wadau mbali mbali wa soka wa brazil wanaoishi bara la Ulaya Philippe Coutinho aliweza kupata asilimia 44% za kura zote ambazo zimepigwa .
Wachezaji wengine ambao walikuwa katika kinyang'anyiro hiko ni pamoja na Neymar Jr wa klabu ya Fc Barcelona ambaye ameshika nafasi ya pili kwa kupata asilimia 33% ya kura zote , Watatu ni Marcelo wa Klabu ya Real madrid Ambaye amepata asilimia 14% , Douglas Costa wa Bayern munich alipata asilimia 3% na Roberto Firmino wa Klabu ya Liverpool alifunga dimba katika Top-5 kwa kupata asilimia 2% ya kura zote .
Akiongea baada ya Kutangazwa kuwa mshindi , Phillippe Coutinho alisema kwamba
" Najisikia faraja kwa heshima hii , natumai ni mwanzo mzuri wa kuongeza kiwango changu zaidi ya hapa , Wote ni bora ila ni Jitihada zimenifanya niwe hapa "
YNWA.
Katika Kura hizo ambazo zimepigwa na mashabiki wa soka wa Kibrazil pamoja na wadau mbali mbali wa soka wa brazil wanaoishi bara la Ulaya Philippe Coutinho aliweza kupata asilimia 44% za kura zote ambazo zimepigwa .
Wachezaji wengine ambao walikuwa katika kinyang'anyiro hiko ni pamoja na Neymar Jr wa klabu ya Fc Barcelona ambaye ameshika nafasi ya pili kwa kupata asilimia 33% ya kura zote , Watatu ni Marcelo wa Klabu ya Real madrid Ambaye amepata asilimia 14% , Douglas Costa wa Bayern munich alipata asilimia 3% na Roberto Firmino wa Klabu ya Liverpool alifunga dimba katika Top-5 kwa kupata asilimia 2% ya kura zote .
Akiongea baada ya Kutangazwa kuwa mshindi , Phillippe Coutinho alisema kwamba
" Najisikia faraja kwa heshima hii , natumai ni mwanzo mzuri wa kuongeza kiwango changu zaidi ya hapa , Wote ni bora ila ni Jitihada zimenifanya niwe hapa "
YNWA.