Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?