PhD za kusomea zimeiletea nchi kitu gani?

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Mar 31, 2016
6,223
7,408
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
 

Attachments

  • download (17).jpeg
    download (17).jpeg
    9.1 KB · Views: 5
  • download (16).jpeg
    download (16).jpeg
    7.8 KB · Views: 5
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Kama ile ya Lipumba jameni. Hivi inafaida gani kwa nchi? Lipumba si aende pale UDSM akafundishe. Aache kuaibisha PhD ya darasani
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Umeuliza swali/maswali bila kutambua unathibitisha kuwa PhD ni muhimu...

Mwenye PhD halali hawezi kufikiri lowly kama wewe
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Zimetuletea mafisadi waliojazana kwenye ofisi za umma with zero contribution to our national development.
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Mfano PhD ya bwana tulia mbunge wa Mbeya mjini ina tija gani kwa faida ?
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?weny











Wenye PHD wengi ni waalimu wa vyuo vikuu,wanadundisha wataalamu wa kada mbalimbali,
Wataalamu wengi waliopo serikalini wanaotunga sera nk,wamefundishwa na hao wenye PHD!
 
Back
Top Bottom