Phd ya Obama kutoka open university.

Phd ya Obama kutoka open university.

Mtunukieni mulugo anaitamani sana na amefanya hadi jitihada ya kuiunganisha tanzania na zimbabwe na isitoshe digrii ya kwanza ameipata open
 
yaani niwe na hold phd toka havard university then nikubali phd ya chuo huria cha tanzania? ni sawa umekula biliani then unashushia na kande .

Mkuu, kande ni tamu zaidi sana kuliko biliani. Hapo mimi ningetanguliza kande na mwisho ndio nikaweka biliani.
 
Mtunukieni mulugo anaitamani sana na amefanya hadi jitihada ya kuiunganisha tanzania na zimbabwe na isitoshe digrii ya kwanza ameipata open

lutayega watu wanazitaka PhD ndo hao akina mulugo,wawape akina rage,wawape,akina nkamia wawape,akina Jk wawape,sasa Obama walitaka kumpa PhD kwa sababu ipi????MBWETE BHANA,,,
 
Last edited by a moderator:
Mtunukieni mulugo anaitamani sana na amefanya hadi jitihada ya kuiunganisha tanzania na zimbabwe na isitoshe digrii ya kwanza ameipata open

lutayega watu wanazitaka PhD ndo hao akina mulugo,wawape akina rage,wawape,akina nkamia wawape,akina Jk wawape,sasa Obama walitaka kumpa PhD kwa sababu ipi????MBWETE BHANA,,,
 
Last edited by a moderator:
Kuna kamati ya kisekta ya seneta inayoshughulikia zawadi na tunzo mbali mbali anazopewa Rais wa Marekani. Vile vile sheria ya marekani inakata Rais wao kupewa title za nje mfano hawezi kupewa tunzo ya member of british empire yaani sir. Ndio maana husikii hata siku moja wakise obama ni mshindi wa nishani ya nobel hata kama anayo. Obama atakuwa na wasi wasi wa kutakiwa ajieleze amepataje hiyo tunzo ndio maaana anajitahidi kukwepa kupokea tunzo mbali mbali. Zawadi ndio kabisa mwisho thamani ya zawadi kwa mwaka isizidi dola 150
 
Back
Top Bottom