Ooo shukran mkuu wangu🙏Anaitwa
Eric Msemakweli
Kitabu
Mafisadi wa elimu
PhD ni utambulisho wa usomi, ambao Msukuma hana.Wengine wqkipata PhD za heshima mambo yanakuwa saw
Swali zuri, bora yeye ametoa ajira kwenye biashara zake siyo akina Mwakyembe na KabudiNa hao wasomi wanasaidia nn
Msukuma hajatunikiwa PhD mbali ni udaktari wa heshima, Malisa juzi kafafanua vizuri hivi ni vitu viwili tofauti kabisaPhD ni utambulisho wa usomi, ambao Msukuma hana.
Mo yule mhindi na Kusaga wa Clouds basi nao ni ma Dr wa heshima.Swali zuri, bora yeye ametoa ajira kwenye biashara zake siyo akina Mwakyembe na Kabudi
Hakuna kitu kama hicho, heshima ya usomi inachakachuliwa hapo.Msukuma hajatunikiwa PhD mbali ni udaktari wa heshima, Malisa juzi kafafanua vizuri hivi ni vitu viwili tofauti kabisa
Inawezekana waliambiwa wapewe wakakataa maana siyo kila mtu anakubali sababu kabla ya kutunukiwa lazima wa kuulizeMo yule mhindi na Kusaga wa Clouds basi nao ni ma Dr wa heshima.
Usomi hauna mbadala!Inawezekana waliambiwa wapewe wakakataa maana siyo kila mtu anakubali sababu kabla ya kutunukiwa lazima wa kuulize
Usitumie nguvu, soma historia Amani Karume ni daktari wa heshima lakini ni F6, kuna watu hawapendi sifa mwl alitunikiwa mara kibao lakini hakupenda hata Mkapa wote hawakuwahi kuitwa Dr, PhD huwa wanaandika mfano Dr Mapapai Mamba(PhD) lakini Msukuma ataishia kuandika Dr Msukuma pekeeHakuna kitu kama hicho, heshima ya usomi inachakachuliwa hapo.
Hakuna shortcut kutambuliwa kuwa msomi.
Msukuma na ninyi wengi, hamjui kuwa hamjui.
Kwa majoho aliyovaa kama mbeba maboga, hajamridhisha msomi yeyote ustahili wakePengine huyu Msukuma, hatimaye amejionyesha kuupenda usomi baada ya kuukandia hadharani kwa miaka mingi.
Sasa ametafuta shortcut, udaktari wa heshima.
Huo siyo usomi, short and simple.
Msukuma hajui, kuwa hajui, na kutokujua kwake kumemletea ujinga zaidi kama vile watoto wa chekechea walivyokuwa wana vaa majoho hadi kupelekea utaratibu huo kupigwa marufuku.
Walio karibu na Msukuma wamwambie, hajachelewa, bado kijana.
Akakinoe kichwa kwa elimu ya awali na juu sekondari, ahenyee shahada ya kwanza na ya uzamili na baadaye anoe kichwa na kuwaridhisha walio katika uzamivu, kuwa anastahili uzamivu.
Kwa majoho aliyovaa kama mbeba maboga, hajamridhisha msomi yeyote ustahili wake.