PhD inalipa? Iweje wafanye u-MC wa kitchen party?

PhD inalipa? Iweje wafanye u-MC wa kitchen party?

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,110
Ni ukweli usiopingika kuwa PhD (ya kusomea) ndio shahada ya juu kabisa Chuo Kikuu kinaweza kutoa hapa duniani.
Lakini wanazuoni wamehusisha shahada hii na mafanikio ya kifedha.

Dhahiri pia ni kwamba PhD kwa bongo hailipi kutokana na waliopata kusaka fursa za kitaa ikiwemo kuwa Mc wa Kitchen party shughuli ambazo hata Asha Ngedere ambae kaishia darasa la 2 anaifanya kwa ufanisi pia. Sio level za PhD kuwa MC uswazi bali inategemewa PhD kufanya za kutatua matatizo yanayoikabili dunia na si kukimbizana na Kitchen parties kitaa.
 
Ukwel n kwamba jamii unayoisema haikupi heshima kama hauna pesa. Hata kama utatatua changamoto zake lakin kama huwez kubadilisha changamoto zikupe pesa utadharaulika hata na wale wasio soma.

Mm ninamfaham moja wapo ya Lecture wang pale DUCE n MC mzur tuu na inavyoonekana anahost event za pesa kubwa kubwa sio hiz za uswahilin.

So kama mtu kaona PHD yake apeleke kweny u MC muache atafute tonge la familia yake.
 
Finder,
Umenikumbusha Mwl. Wangu pale IRA-UDSM (Msc. NARAM) Mheshimiwa Professor (PhD) Mbunge Mstaafu alipokosa ubunge 2010 na theories za Mchuchuma.
**PhD kwa Maendeleo ya Viwanda.
 
Unajua MC's wanaingiza shngapi kwa mwezi? Unajua serikali inamlipa sh ngapi mtaalam wa PHD kwa mwezi? Usikariri maisha mkuu...watu wa Arusha wana msemo "Pambania ela 'ote"

Usipobadilika utakufa masikini na PHD yako. Kipaji kinalipa kuliko taaluma mkuu!
 
Ukiona kazi anafanya mchagga ujue inalipa sana.Wewe kufa na Phd yako mbuzi usichanhamkie besa mtaani.Go my brother MC .Hakuna kazi ndogo wala kubwa duniani.Kuna mwl mmoja alikuwa anafundisha makongo sec alikuwa anaitwa kama sikosei Mr Mbowe akawa nafanya uMC achagui kazi anakusanya fweza sasa hivi anamtaa wake hapo mbezi beach.Kuanzia ukumbi wa kiramuu,shule ya sekkndari nk mtaa karibu mzima kuanzia hapa barabara ya morogoro mpaka karibu na njia ya kuelekea Goba ni vitega uchumi vyake.Sasa kaa hapo na vipepa vyako vya PHD huna hata hela ya kulipa bili unasubiri utukanywe na Jiwe mbele za watu na mshahara wa milion 2m.
 
Ukwel n kwamba jamii unayoisema haikupi heshima kama hauna pesa. Hata kama utatatua changamoto zake lakin kama huwez kubadilisha changamoto zikupe pesa utadharaulika hata na wale wasio soma.

Mm ninamfaham moja wapo ya Lecture wang pale DUCE n MC mzur tuu na inavyoonekana anahost event za pesa kubwa kubwa sio hiz za uswahilin.

So kama mtu kaona PHD yake apeleke kweny u MC muache atafute tonge la familia yake.
Wewe huna akili. Umepitia DUCE lakini hujui tofauti ya LECTURE na LECTURER?
PhD unaiita PHD?
Kama ulipasi DUCE basi ukipewa marks za chupi.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa PhD (ya kusomea) ndio shahada ya juu kabisa Chuo Kikuu kinaweza kutoa hapa duniani.
Lakini wanazuoni wamehusisha shahada hii na mafanikio ya kifedha.

Dhahiri pia ni kwamba PhD kwa bongo hailipi kutokana na waliopata kusaka fursa za kitaa ikiwemo kuwa Mc wa Kitchen party shughuli ambazo hata Asha Ngedere ambae kaishia darasa la 2 anaifanya kwa ufanisi pia. Sio level za PhD kuwa MC uswazi bali inategemewa PhD kufanya za kutatua matatizo yanayoikabili dunia na si kukimbizana na Kitchen parties kitaa.
Mkuu ufahamu wako ni mdogo saana! Kama ulienda Shule bado una mtazamo wa kale sana!
 
Back
Top Bottom