Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Vilio kwa ndugu na jamaa hasa bajaj,bodaboda na gari nyingi zinazotumia mafuta ya petrol ni kikubwa kuanzia jana.
Mfano eneo la kuanzia Moshi mjini hadi Arusha kuanzia jana ni vituo vichache mno vilivyokuwa na mafuta ya petrol!
Vilevile muda huu kwa mujibu wa mimi mwenyewe nikiwa hapa mji wa Babati, Manyara ni karibia vituo vyote havina nishati ya petrol ukianzia na kituo cha mafuta cha Lake Oil.
Tujuzane,vipi huko ulipo?!
Mfano eneo la kuanzia Moshi mjini hadi Arusha kuanzia jana ni vituo vichache mno vilivyokuwa na mafuta ya petrol!
Vilevile muda huu kwa mujibu wa mimi mwenyewe nikiwa hapa mji wa Babati, Manyara ni karibia vituo vyote havina nishati ya petrol ukianzia na kituo cha mafuta cha Lake Oil.
Tujuzane,vipi huko ulipo?!