Bamutu ya Kongo imekukatisha usingizi?Daah kahawa imenikosesha usingiz
john snowYou know nothing....
Mohammed au Mwamedi?Hapana mbongo anaitw Mohammed
Bilionea kaondoka na pesa zake, Wasafi wajipange kufilisika kama Meridian Biao
Means "Yummy Yummy"Unajua maana ya petit?
Inashangaza sanaWanongo bwana, kwa kifupi event nzima imekuwa sponsored na safaricom, diamond kashalipwa chake. Ni sawa na kusema huyo petit man kawasaidia safaricom kufanikisha event ya diamond huko Kenya. Ninaamza kuamini kwa nini diamond hakufanya hiyo event Tanzania, maana hata juhudi zake ndogo hamuamini mpaka mnaanza kutafuta nani yupo nyuma yake. WaTz wengi hawaamini kufanikiwa bila kubebwa.
Aiseee mkuuu umeniwahi ni huyu wakubeba pochi za madam mkatwa utumbo akiwa anatoka out huyu huyuNdio huyu huyu petitiman wakuache au kuna mwingine kama ndio huyo hii habari ni mtu kula simba
hahaa kweli mkuu sasa kama ndio huyo mwenyewe ni mganga njaa tu na huo ukongo kautoa wap au kwa vile kasuka ...Jamaa hajui kua alikua Shemej kwa mond alizaa na Dada yake ESMA kimwana wakazaa mtoto anaitwa Taraj na pia ni mpambe wa madam sepetu pamoja na Martin kadindaAiseee mkuuu umeniwahi ni huyu wakubeba pochi za madam mkatwa utumbo akiwa anatoka out huyu huyu
Sent using Jamii Forums mobile app