Tetesi: Petitman: Mkongomani Bilionea anayempa 'support' Diamond kifedha

Sasa je kijana wetu yupo salama lakini? sapoti haipatikani kirahisi dunia hii isje kua anakula ............................
Mana Na kaka yetu amekua akitutia shaka tu sikunyingi, mara kikuku mara asuke
 
Mabilionea Bongo wapo wengi sana, wengine wamejaa huku Mtoni kwa Aziz Ally wanapiga debe
 
Wanongo bwana, kwa kifupi event nzima imekuwa sponsored na safaricom, diamond kashalipwa chake. Ni sawa na kusema huyo petit man kawasaidia safaricom kufanikisha event ya diamond huko Kenya. Ninaamza kuamini kwa nini diamond hakufanya hiyo event Tanzania, maana hata juhudi zake ndogo hamuamini mpaka mnaanza kutafuta nani yupo nyuma yake. WaTz wengi hawaamini kufanikiwa bila kubebwa.
Inashangaza sana
 
Ndio huyu huyu petitiman wakuache au kuna mwingine kama ndio huyo hii habari ni mtu kula simba
 
Aiseee mkuuu umeniwahi ni huyu wakubeba pochi za madam mkatwa utumbo akiwa anatoka out huyu huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaa kweli mkuu sasa kama ndio huyo mwenyewe ni mganga njaa tu na huo ukongo kautoa wap au kwa vile kasuka ...Jamaa hajui kua alikua Shemej kwa mond alizaa na Dada yake ESMA kimwana wakazaa mtoto anaitwa Taraj na pia ni mpambe wa madam sepetu pamoja na Martin kadinda
 
Back
Top Bottom