Power Benq
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 548
- 456
aseme asiseme yote ni yale yale, lakini hii ya kusema ni bora zaidi maana tunajifunza kitu kikubwaUyu msigwa uyu mbn anajiamini hivi?,kauli gani izo anazotoa?!
aseme asiseme yote ni yale yale, lakini hii ya kusema ni bora zaidi maana tunajifunza kitu kikubwaUyu msigwa uyu mbn anajiamini hivi?,kauli gani izo anazotoa?!
Ndege haikukodiwa na mbunge wa ccm ila mbunge wa ccm alitoa Mali kauli sababu wanafahamiana kibiashara na mmiliki wa ndege, na chadema wakaja kulipa baadae.Chadema watakua wameiba Fedha za chama chao, ila ndege imekodiwa na mbunge wa CCM
Ndege aliyopanda lissu haikupita daresalam. Waliondoka usiku mnene Dodoma moja kwa moja NairobiKuna Ndege mbili jamani tusichanganye...Iliyomtoa Dodoma kwenda Dar na iliyomtoa Dar hadi Nairobi. Tusichanganye
mkuu usilijibu ilo pepo tu linasema uongo kweupe yamezoea kugeuza uongo kuwa kweli.ni liongo wala kweli haipo ndani yake ni moja la watu lililomkasirikia Mungu kwa kuutunza uhai wa Lisu.LIZEZETA TU LISILOJITAMBUANdege aliyopanda lissu haikupita daresalam. Waliondoka usiku mnene Dodoma moja kwa moja Nairobi
Sasa ujui maana kudhamini, ujui mdhamini ndio anafanya jambo lifanikiwe, mfano bodi ya mikopo inadhamini wanafunzi elimu ya juu, wanao kosa udhamini wanakosa nafasi ya kuendelea Elimu ya juuNdege haikukodiwa na mbunge wa ccm ila mbunge wa ccm alitoa Mali kauli sababu wanafahamiana kibiashara na mmiliki wa ndege, na chadema wakaja kulipa baadae.
Kwa nini alitoa Mali kauli?
Ni kwa sababu kampuni ya ndege uliyokua inataka kumsafirisha lissu ilitaka hela kwa dollar, na chadema pale Dodoma hawakua na hela inform of dollars, so Huyo mbunge wa ccm akawadhamini kwa Mali kauli..
Ukoko haupo ktk sufuria tu, hata kichwani upo. we ni mwenyeji wa kule ko.... inaeleka.Kuna hatari ya pesa iliyotolewa na mbunge wa CCM kutumiwa ndivyo sivyo na viongozi wa CDM. Kuna jambo la kuhoji.
Tunmtakia kila la kheri Lissu apone haraka.
Mkuu, huyo mbunge wa CCM ameongea kwamba CHADEMA wameilipa hiyo pesa, sasa ushahidi upi tena unautaka.
Sent using Jamii Forums mobile app